OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ila hapa Uto wamejiaibisha aisee kusema kweli. Akili gani hiziHahah kichwani wanamuiga Amber Rutty kupakaaaa kabichiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hapa Uto wamejiaibisha aisee kusema kweli. Akili gani hiziHahah kichwani wanamuiga Amber Rutty kupakaaaa kabichiii
Naam ,kwa matumizi ya baadae..Risiti muhimu
Kipofu kaona mwezi.Baada ya yanga kupigwa 3g na CRB jana, habari mpya ni kwamba Gamond yupo hospitali yaani kawa mental fresh. Kila mara anatamka buenos aires, bueno aires.
Sasa, Shida ni kwamba madaktari wanaomtibu hawaelewi anaposema bueno aires anataka hewa safi au anataka kurudi nyumbani kwake Bueno Aires, Argentina.
kama bao tatu tu mtu anakuwa mwehu, akipigwa mkono je?
AiseeYanga nyumbani atapigwa 2-0
Ujinga mtupu! Haya rudia ulichosema kwa sautiKwenye hilo group lao, Al Ahly na hawa CRB ndo wanaenda.
Kule ni Simba na Wydad.
Mark my words.
Au sio 😄Sikupingiii.
Hatoboi pulizo au nini?Hili group
Yanga hatoboi
Unasema?Sasa vipi mabingwa wa Shirikisho mna la kusema 🤣🤣🤣🤣...
Siku nyingine mjue kutofautisha kati ya Shirikisho na Club bingwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Hata Argeakilna mechi ya kwanza makundi alipigwa na Saudi Arabia mwisho wa siku akawa bingwa na huo ndio mwendo wa mabingwa ,hata alipigwa bado Yanga ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mashindano haya.
Mzee unafufua makabuli 🤣🤣Unasema?
Jitahidi kuficha ujingaKwa akili yako unafikir Yanga anaweza kujimudu kwenye mechi ya Marudiano?
Au unataka kusema watapata aggregate zaidi ya 2:3 ni kitu ambacho ni Ndoto sana...
Kwwnye lile group Yanga ni Timu ya Kujipigia
Unaweza kuwa mjinga ila jitahidi kuficha watu wasijueKwenye hili kundi yanga hata shinda mechi hata moja
Unaweza kuwa mjinga ila jitahidi kuficha watu wasijueUtabiri.
Yanga hawatapita hatua inayofuata baada ya makundi. Ila Simba wakitulia watapita. Hawa waarabu nimegundua wanahitaji timing kama unachinja kobe. Sio juhudi zisizo na malengo.
Ni sawa na kuwa na nguvu nyiiingi za kiume alafu huna uwezo wa kutengeneza mtoto. Watuwanataka matokeo sio juhudi butu.
Mlisema sana 😄Mzee unafufua makabuli 🤣🤣
Mkuu hii ilikuwa mwaka 2023 zamani sana na baada ya marudiano Kongole kwao walishinda 4Jitahidi kuficha ujinga
AmeshalipaBELOUZIDAD Mungu atawalipa
Unasemaje?Goli 3 kwa Kiarabu tunaita Thalatha. Badala ya kujiandaa na CAFCC nyie mnahangaika na mabango. Pumbavu
Naam utafauti upo na tumeumudu
Kuna utofauti mkubwa sana kati Champion League na Confederation
AiseeNa wanaweza kumpiga tena huku huku Dar,kipindi cha pili waarabu wamepaki basi na wamefunga ,Dar mwanzo mwisho itakuwa kupaki basi na counter
Sent using Jamii Forums mobile app