FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Baada ya yanga kupigwa 3g na CRB jana, habari mpya ni kwamba Gamond yupo hospitali yaani kawa mental fresh. Kila mara anatamka buenos aires, bueno aires.
Sasa, Shida ni kwamba madaktari wanaomtibu hawaelewi anaposema bueno aires anataka hewa safi au anataka kurudi nyumbani kwake Bueno Aires, Argentina.

kama bao tatu tu mtu anakuwa mwehu, akipigwa mkono je?
Kipofu kaona mwezi.

Majini yasihusishwe kuleta ushindi
 
Watu wenye akili👏👏👏
Hata Argeakilna mechi ya kwanza makundi alipigwa na Saudi Arabia mwisho wa siku akawa bingwa na huo ndio mwendo wa mabingwa ,hata alipigwa bado Yanga ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mashindano haya.
 
Utabiri.
Yanga hawatapita hatua inayofuata baada ya makundi. Ila Simba wakitulia watapita. Hawa waarabu nimegundua wanahitaji timing kama unachinja kobe. Sio juhudi zisizo na malengo.

Ni sawa na kuwa na nguvu nyiiingi za kiume alafu huna uwezo wa kutengeneza mtoto. Watuwanataka matokeo sio juhudi butu.
Unaweza kuwa mjinga ila jitahidi kuficha watu wasijue
 
Back
Top Bottom