FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Kipofu kaona mwezi.

Majini yasihusishwe kuleta ushindi
 
Watu wenye akili👏👏👏
Hata Argeakilna mechi ya kwanza makundi alipigwa na Saudi Arabia mwisho wa siku akawa bingwa na huo ndio mwendo wa mabingwa ,hata alipigwa bado Yanga ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mashindano haya.
 
Unaweza kuwa mjinga ila jitahidi kuficha watu wasijue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…