Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Asalaaale ngoja nitulie hapa naona jamaa wameagiza Mo xtra km zote ☹️Nawaona wachawii watavojaa kutuchamba hapa 😖😖😖😖
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asalaaale ngoja nitulie hapa naona jamaa wameagiza Mo xtra km zote ☹️Nawaona wachawii watavojaa kutuchamba hapa 😖😖😖😖
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kuna pipoz leo siwaoni humuu,[emoji1][emoji1][emoji1]Walidhani haya mambo ni rahisi rahisi tu...
Nye nye nyingi..
Bado mawili nikalale mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanayanga kama tunataka kusawazisha haya magoli tufunguke zaidi
Ila angalia wanapozuiwa na kushambuliwa...Ila mtani bado ana nafasi maana anamiliki dimba vizuri
Wako vizuri shida iko wapi .?!!
Hawa jaama hashindwi kujiangusha na kujilaza, utawaona kipindi cha piliMuda wa waarabu kujilaza kama wamekufa haujafika bado ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eendiwoooo ndiwooo!![emoji172][emoji123]
Pombe sio chai bwashee ukizidisha utaropoka baadae kwamba wewe ndio bosi mkuu wa Uto ilhali humiliki hata guta, boli lenyewe unaliangalia ukiwa na chupa ya mvinyo wa banana ndani ya kibanda umiza 😂😂Nimesave hii comment.
Nitakurudia dkk 90 zikiisha.
Yanga tunaweka makocha wasomi tu, leo mtashangazwa.
Tuendelee kuangalia game mkuu, 2nd half hio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa yuko wapi sahivi?Usm alger ndio klabu bora afrika ndie anaenda kucheza klabu bingwa dunia
Kilemba kimependezesha avatar yakoPengo la nani limetuangusha? Diara? Mwamnyeto? Au shida iko wapi?
Wajibu wenye akili timamu tu, vichaa hii sio sehemu yenu.
Bado. Mpira dk 90Kwaio watakufa kiume
Wee zombie haujui, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Misso Misondo umepigaje hapo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulia hapo hapoUnapoangalia mpira kwenye tv uka-mute sauti ni kama Yanga wanafukuza upepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Goli la puli lile daah ☹️Mwarabu ni mwarabu tu hata azaliwe Tinde au Bukene hawezi itwa Kashindye.
Yanga pamoja na kucheza vyema ila jamaa wanatupia tu.