zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
nimecheka sanaLikifungwa la 3 natoka kibanda umiza ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimecheka sanaLikifungwa la 3 natoka kibanda umiza ..
Yanga nyumbani atapigwa 2-0CCM na CHAWA wamegeuza hizi timu kuwa za Chama.
Wanatumia mpira kwa maslahi ya kisiasa.
Hivyo, wanyonge wasio na CHAMA wanaomba YANGA IFUNGWE 2 -0.
Kwel hawatish na ndio maana zimeingia mbili tu[emoji41][emoji41][emoji41]Tuwe makini na kaunta, ila jamaa hawatishi sana.
Ndo ivo sema mpira magoli mzee.Tuwe makini na kaunta, ila jamaa hawatishi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jana sait mbeba tofar mwenzangu anaongea kwa ujasiri yanga ataongoza kundi lake nkaona uyu ndo maana tuko naye sait tunabeba tofar awez kuwa na akil timamu shule lazm alikua hamuelew mwalim vzur
Hamna kitu, Yanga wana kiwewe cha kusifiwa jezi nzuri wakasahau mazoezi.Magoli yananukia pande zote, ila kwa Yanga zaidi.. Sub ya yanga imeongeza kakitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyuma Mwiko ushaelewa Daima Mbele yaan hivyo Nyuma Mwiko
Kwa hiyo unampoza machungu?Kwan hajapendeza???
Leo mmekuwa wa kulilia goli la offside?Tumenyimwa goli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utasema tyuuh!!Likifungwa la 3 natoka kibanda umiza ..
Unatoka unakwenda wapi?........ lazima tukuzuie usiende kujinyonga....😂😂😂Likifungwa la 3 natoka kibanda umiza ..
Yanga wanajitafuta, wamesifiwa ooh jezi nzuri ooh nzuri, haya sasa jezi zifunge.Wamekimbia uzi, maniner 😃😄😁
Sasa ile offside?Leo mmekuwa wa kulilia offside?
Huko hakna kina Arajiga na Malogo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumenyimwa goli.