GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Speed bila direction ni kazi bure ndugu yangu acha tuelezane ukweliUshabiki pembeni.
Hili pira analopiga UTOPWINYO ni mpira wa kikubwa saana, mpira una spidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Speed bila direction ni kazi bure ndugu yangu acha tuelezane ukweliUshabiki pembeni.
Hili pira analopiga UTOPWINYO ni mpira wa kikubwa saana, mpira una spidi.
Mechi magoli mzebabaUshabiki pembeni.
Hili pira analopiga UTOPWINYO ni mpira wa kikubwa saana, mpira una spidi.
Noooo! Usiwe hivyo, hadi iishe dear.Imeshagoma hii🤔🙇!
Baada ya kukaa nje ya Cacl kwa miaka 25 hatimaye leo mmepokelewa rasmi.Kumbuka mechi yetu ya kwanza makundi shirikisho, mbona unaenda mbali Mkuu?
Yanga wanaupiga mwingi sana,kosa kubwa walilofanya ni kuruhusu magoli kipindi cha kwanza,all in all wanaupiga mwingi,wapate hata goli moja jamani.Nasikitika sana,nimekua mpweke sana,mbaya zaidi nimesoma taarifa majuzi,eti upweke ni mbaya sana ukilinganisha na mtu anayevuta sigara.Daaah! matokeo yakibaki hivihivi hadi mwisho,ntakua kama nimevuta pakiti tatu za fegi leo,kwa upweke.
Kwani wee Robo final CL umewahii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kawaida msimu uliyopita nimeweka historia ambayo ww hujahi kuiweka KWA MUJIBU WA CAF.
KabisaSpeed bila direction ni kazi bure ndugu yangu acha tuelezane ukweli
Haya kule tulisema kwa maluza huku kiumeni vipi mpaka dakika hii umechezea miko miwili hebu ichomoe tuoneMbona kawaida msimu uliyopita nimeweka historia ambayo ww hujahi kuiweka KWA MUJIBU WA CAF.
Wala siwezi kusema Asante,hapa kila eneo la mwili wangu,kuna hasira,tena hasira kali sana.Nikiguswa tu hata mkono,reaction yake ni kubwa sana.Usiriplai hii komenti.Poleeee wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah!...pole mkuu, yatapita tu... muhimu kuwa na subira.Yanga wanaupiga mwingi sana,kosa kubwa walilofanya ni kuruhusu magoli kipindi cha kwanza,all in all wanaupiga mwingi,wapate hata goli moja jamani.Nasikitika sana,nimekua mpweke sana,mbaya zaidi nimesoma taarifa majuzi,eti upweke ni mbaya sana ukilinganisha na mtu anayevuta sigara.Daaah! matokeo yakibaki hivihivi hadi mwisho,ntakua kama nimevuta pakiti tatu za fegi leo,kwa upweke.
Ticket ninayo VIP B.Ya kesho maandalizi yake ni leo na ndio maana ticket za kesho zimeanza kuuzwa tokea Jumatatu.
Hata maharage yanaiva pia sisi uto tunataka ushindiBacca ameiva sana, dogo mzuri 👏🏽👏🏽👏🏽
Mie nazungumzia mchezo, we unazungumzia matokeo.Mechi magoli mzebaba
Hii ni kama ile tuliyocheza na simba, pira jiiingi afu mwenzio anabeba kombe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa kwa kuchekaa wallah.Wala siwezi kusema Asante,hapa kila eneo la mwili wangu,kuna hasira,tena hasira kali sana.Nikiguswa tu hata mkono,reaction yake ni kubwa sana.Usiriplai hii komenti.