FT: CS Sfaxien FC 0-1 Simba SC | CAF CC | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 05.01.2025

FT: CS Sfaxien FC 0-1 Simba SC | CAF CC | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 05.01.2025

Siku ya Mechi Kali.
View attachment 3193301

View attachment 3193236

Mwenyeji: CS Sfaxien FC

Mgeni : Simba SC

Mashindano: CAF CC Group Stage.
Group A.

Uwanja: Stade Olympique Hammadi Agrebi Stadium, Rades, Tunisia.

Tarehe: 05th January 2025

Muda: Saa 1Jioni (EAT)

VIKOSI.
1. CS Sfaxien

2. Simba SC
View attachment 3193348


Updates On 1st Half

00' Mpira Umeanza hapa kwa kasi, Simba wamechezewa Faulo

03' SC Sfaxien wanafanya shambulizi anaokoa Camara, wakati huo anaenda chini baada ya kuchezewa Rafu na Sfaxien
Game On
0-0

05' Sfaxien wanapata free kick nje kidogo ya 18 inapigwa inagonga mtambaa panya, inakuwa offside.
0-0

10' Mpira unaendelea Ngoma anachezewa faulo katikati ya uwanja.
Inapigwa wanatengeneza shambulizi linakuwa hafifu.
Game On
0-0

13' Simba wanapata kona ya kwanza, inaondoshwa kirahisi sana.

17' Wanacheza Free Kick Sfaxien inapigwa Che Fondo Malone anaitoa kwa ustadi mkubwa kabisa.
Game On
0-0

23' Ahoua anachezewa rafu mbaya kidogo, haimuumizi mpira unaendelea sasa
0-0

26' Simba wanapata kona ya pili inapigwa na Jean Charles Ahoua inatolewa inakuwa goal kick.
Game On
0-0

27' Elia Mpanzu anapatiwa kadi ya Njano baada yakucheza faulo.
0-0

31' Ateba amechezewa vibaya hapa, imekua faulo. mpira unaendelea
0-0

33' Goooooooooooal Chumaaaaaa kituuuuuuuuuuuu.
Jean Charles Ahoua anapiga kitu cha moto Sfaxien wanakandwa hapa, wanapigwa msumari.
Ilianza kwa Che Malone Ikapigwa kwa Ateba akaitoa kwa ustadi mkubwa sana Ikamfikia Ahoua akatupia.
0-1

36' Simba wanapata kona nyingine inapigwa inakatalia.
Simba wanaumiliki sana Mpira wanacheza mpira
0-1

39' Simba wanapata kona nyingine inapigwa inaishia kwenye mikono ya kipa wa Sfaxien
Game On
0-1

44' Sfaxien wanapata free kick nje kidogo ya 18.
Inapigwa inaokolewa.

45' Nyongeza ni 1' tu.
0-1

45+1' Ateba anapewa kadi ya Njano.
Baada ya kwenda kumzuia Mchezaji wa Sfaxien asianzishe Mpira.

HALF TIME
SC Sfaxien 0-1 Simba
Simba anaunguruma Uarabuni lakini wanaoumia ni Uttopollo waliopo Tanzania. Majiru haya hayana akili aslani.
 
images (21).jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Yote haya kisa nimesema mnalingana kiuwezo na Singida. Kuhusu kufungana mi nawewe huo sio mjadala ila kufungwa 4 mfululizo sio derby tena ushakua mpinzani wa kawaida kama navyokutanaga na Dodoma Jiji au Tz Prisons.
Tabora umemkanda mara ngapi?
 
Simba watulie halafu kocha asiridhike na goli moja aanze kuwaambia wajilinde, timu nyingine zinaweza kuipiga goli nyingi mshindi akaamriwa kwa mabao ya kufungwa.
 
Bado hujasema
Ndugu mimi ni shabiki wa mpira nje ya ushabiki wa Yanga. Hivyo mechi kama hizi huwa napenda kucheki burudani huku nikiwachachafya huku JF maana mlikua mmeshapotea kabla ya goli. Chochote kizuri nitasema na hata kibaya nitasema fuatilia.
 
Siku ya Mechi Kali.
View attachment 3193301

View attachment 3193236

Mwenyeji: CS Sfaxien FC

Mgeni : Simba SC

Mashindano: CAF CC Group Stage.
Group A.

Uwanja: Stade Olympique Hammadi Agrebi Stadium, Rades, Tunisia.

Tarehe: 05th January 2025

Muda: Saa 1Jioni (EAT)

VIKOSI.
1. CS Sfaxien

2. Simba SC
View attachment 3193348


Updates On 1st Half

00' Mpira Umeanza hapa kwa kasi, Simba wamechezewa Faulo

03' SC Sfaxien wanafanya shambulizi anaokoa Camara, wakati huo anaenda chini baada ya kuchezewa Rafu na Sfaxien
Game On
0-0

05' Sfaxien wanapata free kick nje kidogo ya 18 inapigwa inagonga mtambaa panya, inakuwa offside.
0-0

10' Mpira unaendelea Ngoma anachezewa faulo katikati ya uwanja.
Inapigwa wanatengeneza shambulizi linakuwa hafifu.
Game On
0-0

13' Simba wanapata kona ya kwanza, inaondoshwa kirahisi sana.

17' Wanacheza Free Kick Sfaxien inapigwa Che Fondo Malone anaitoa kwa ustadi mkubwa kabisa.
Game On
0-0

23' Ahoua anachezewa rafu mbaya kidogo, haimuumizi mpira unaendelea sasa
0-0

26' Simba wanapata kona ya pili inapigwa na Jean Charles Ahoua inatolewa inakuwa goal kick.
Game On
0-0

27' Elia Mpanzu anapatiwa kadi ya Njano baada yakucheza faulo.
0-0

31' Ateba amechezewa vibaya hapa, imekua faulo. mpira unaendelea
0-0

33' Goooooooooooal Chumaaaaaa kituuuuuuuuuuuu.
Jean Charles Ahoua anapiga kitu cha moto Sfaxien wanakandwa hapa, wanapigwa msumari.
Ilianza kwa Che Malone Ikapigwa kwa Ateba akaitoa kwa ustadi mkubwa sana Ikamfikia Ahoua akatupia.
0-1

36' Simba wanapata kona nyingine inapigwa inakatalia.
Simba wanaumiliki sana Mpira wanacheza mpira
0-1

39' Simba wanapata kona nyingine inapigwa inaishia kwenye mikono ya kipa wa Sfaxien
Game On
0-1

44' Sfaxien wanapata free kick nje kidogo ya 18.
Inapigwa inaokolewa.

45' Nyongeza ni 1' tu.
0-1

45+1' Ateba anapewa kadi ya Njano.
Baada ya kwenda kumzuia Mchezaji wa Sfaxien asianzishe Mpira.

HALF TIME
SC Sfaxien 0-1 Simba
Leo wanalunyasi tunamfukuza kazi kocha mwingine tena. Uttopollo njoo hapa mshuhudie game ya wanaume.
 
Back
Top Bottom