Anacheza makidaSure boy hayuko mchezoni Leo. Bora aingie Farid
Kuliko kule SouthLeo Mzize ana utulivu wa hali ya juu sana. Nice goal. 👍
Wifi hii mechi imenipitaNi raqha sana kuwa yanga..🔥🔥💚💛💚💛
Max kazuia video haijii🤣Ila shabiki wa simba kushabikia yanga hapa unateseka kinoma.
Derby ni DerbyTunasubiri kupiga jitu tarehe 20.
Hakuna Derby hapo, mmoja ni underdog.Derby ni Derby