Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Kina kolozidad wana tabu mwaka huu tunapiga kote koteYeah leo ngoja apige hat trick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina kolozidad wana tabu mwaka huu tunapiga kote koteYeah leo ngoja apige hat trick
Wanagombania P2 na AzamKina kolozidad wana tabu mwaka huu tunapiga kote kote
Mbona umejifungia kabatini rafiki.Ki anaishia goli 15 . Hana maajabu tena ya kupata goli. Na wazee wa Pemba hawakubali Ki amzidi Feisal
Kashaweka chuma cha 17Nazungumzia Aziz ki,
UmevaaNilikua naoga nimetoka bafuni baada ya kujua Ki kaweka chuma cha 17🤸💛💚🔥🔥🔥
Izo timu za ulaya na Amerika zamani zilikua zinakuja Sana apa Bongo.Acheni utani na professional leagues kubwa jamani, tuwe realistic tu wakubwa, hivi vijamaa kwenye ligi kubwa kama epl, bundes, serie a, la Liga usivione ni vidogo ukavichukulia poa aisee, Hawa kina Aziz k ni level za huku kwetu tu ukimpeleka huko utachekesha watu sheikh, tuwe wakweli tu..... Timu ya championship kama Leicester wakija huku hakuna timu itakula chini ya chuma 3 mpaka ligi iishe, labda tuwachezeshe viwanja kama kile Cha jkt kilichojaa tope, ila kwenye standard pitches tutachezea sana, wangekua na viwango hivyo wangeenda huko kitambo Kuna mtu hapendi pesa kwani?
Nimeshavaa hapa naangaliaUmevaa
Jamaa Yuko chumban mwake anatoa machoziMbona umejifungia kabatini rafiki.
Ushasema kirafikiIzo timu za ulaya na Amerika zamani zilikua zinakuja Sana apa Bongo.
Mwaka 1971/1972 kama sijakosea ilikuja timu ya Taifa ya Brazil under 20 baada ya timu iyo ya Brazil kupita sehemu mbali mbali apa Africa ikicheza mechi za kirafiki bila kufungwa ilikuja apa Bongo ika kutana na Yanga pale shamba la bibi walitandikwa 3-1 na Yanga kocha wao alishangaa Sana.
Mwaka uo uo wakaja Aston villa miaka micha he nyuma walikua mabingwa wa ulaya, walikipiga pale shamba la bibi wakatoka sare ya 1-1 na Yanga .
Walikua Stock city miaka ya 90'/92' walifungwa goli Moja pale Arusha.
Kuna wachezaji hawaja pata bahati tu ya kucheza Ulaya ila wangeweza kucheza bila shida yoyote.
Una balaa😃😃Nimetoka mtupu hakuna anayeniona😂
Ushasema kirafiki
Mat*ko ya bibi yakoKi anaishia goli 15 . Hana maajabu tena ya kupata goli. Na wazee wa Pemba hawakubali Ki amzidi Feisal