Mbeya yanga alibebwa kwenye goli lipi ebu tuambieNyie zenu ngapi mfululizo? Tukianza ya Mbeya?😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya yanga alibebwa kwenye goli lipi ebu tuambieNyie zenu ngapi mfululizo? Tukianza ya Mbeya?😁
Weka video ya hilo goli tuone mpira ukivuka mstari.Afu ndio huyu huyu aliyekataa na goli la Ken Gold
Ule wa Uto kule Mbeya ulikuwa funga kaziUshindi wa bahasha
Hatushindani kubebwa mkuu, mpira ulikuwa mzuri na refa alikuwa fair, Dodoma wamefanya makosa kwenye boksi wamesababisha penati wakapoteza.Nyie zenu ngapi mfululizo? Tukianza ya Mbeya?😁
Goli la wale watoto kukataliwa.Mbeya yanga alibebwa kwenye goli lipi ebu tuambie
Hapo umenena Ile ni penati sio kubebwa.Hatushindani kubebwa mkuu, mpira ulikuwa mzuri na refa alikuwa fair, Dodoma wamefanya makosa kwenye boksi wamesababisha penati wakapoteza.
Mpira umeujulia ukubwani wewe ni Bora ukae kimya, unazijua Sheria za Mpira ili goli lihesabike kuwa goli?Goli la wale watoto kukataliwa.
Kabisa. Ngoja nikawatazame hawa vyura sasa.Hapo umenena Ile ni penati sio kubebwa.
Malalamiko FC mbona mapema sanaUshindi wa bahasha
Kati ya Bahasha na simu kipi kina nguvu ya kubadili Kila kitu?...😃😃Simu moja, inabadili kila kitu.
K.simba: Mnatukamia sana mzee, hawa watu watanitoa.
K.D. Jiji: Limeisha hili mzee. After HT kijana wangu mmoja atamvuta, kijana wako sehemu ya hatari. Mpate hata kapenalt.
After HT...
Dodoma Jiji 0 - simba Penalt 1.
🤗
Wewe nyamaza kabisa. Wewe unaejua Sheria ambae huwezi kuona madhaifu ya timu yako sio Unajua Sheria Bali USHABIKI😄Mpira umeujulia ukubwani wewe ni Bora ukae kimya, unazijua Sheria za Mpira ili goli lihesabike kuwa goli?
Kama Yale ya Mbeya😄Makosa ya kibinadamu yameipa Simba penati na ushindi
Pongezi nyingi kwa Refa ni man of match makosa ya kibidamuKuna watu wana roho mbaya sana. Sasa mechi ya ubaya ubwela, utopwinyo inawahusu nini?