FT: Dodoma Jiji FC 0 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 29.09.2024

Nibebe fc wanaendelea kupakatwa na refa kama kawaida yao, walisema wanafunga magoli mengi but Leo imebidi refa awaokoe 🤣🤣🤣
 
Mbeleko fc,refa pitia bahasha yako msimbazi.
 
Makosa ya kibinadamu yameipa Simba penati na ushindi
 
Kati ya Bahasha na simu kipi kina nguvu ya kubadili Kila kitu?...😃😃
 
Nibebe fc wanaendelea kupakatwa na refa kama kawaida yao, walisema wanafunga magoli mengi but Leo imebidi refa awaokoe 🤣🤣🤣
Duh! mna maneno sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…