FT: Dodoma Jiji FC 0 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 29.09.2024

Hatushindani kubebwa mkuu, mpira ulikuwa mzuri na refa alikuwa fair, Dodoma wamefanya makosa kwenye boksi wamesababisha penati wakapoteza.
Hakuna penalty pale ni muendelezo wa upuuzi wa marefa kwa kuendekeza njaaa.
Njaa inadhalilisha Sana.
 
Hakuna penalty pale ni muendelezo wa upuuzi wa marefa kwa kuendekeza njaaa.
Njaa inadhalilisha Sana.
Penati halali ile ila hukatazwi kuifuta boss.
 
😆😆🤣🤣 hiyo Miko ya kukoroga nya kule nyuma hawawezi kuichomoa. Wenyewe wanakwambia wanasikia rahaaaa.
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…