Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ingekuwa ni penati ya mchongo kipa angeidaka 😂Hapo umenena Ile ni penati sio kubebwa.
Hongereni kwa kupata points 3 bila makosa ya kibinadamu ulikuwa unadondosha points timu yako bado inajitafuta.Kama Yale ya Mbeya😄
Kama Yale ya Mbeya SASA hivi ingekuwa mkiani😁Hongereni kwa kupata points 3 bila makosa ya kibinadamu ulikuwa unadondosha points timu yako bado inajitafuta.
Wekeni VAR.Pongezi nyingi kwa Refa ni man of match makosa ya kibidamu
Lile ni goli?Afu ndio huyu huyu aliyekataa na goli la Ken Gold
Acha mikelele lipeni hela mnazodaiwa Okrah.Mbeleko mbeleko mbeleko mbeleko mbelekoooooooooooooooooooo
Kipyenga cha mwisho alikataa kusema ni goli ama si goliLile ni goli?
Angalia kipyanga cha mwisho
Pia hiyo ni ishara kua leo mmebebwa
Tutalipa...tulijua tutalipa Kwa sababu hatukuwa tunamhitaji na tusingeendelea kuwa naye!!Acha mikelele lipeni hela mnazodaiwa Okrah.
Hakuna penalty pale ni muendelezo wa upuuzi wa marefa kwa kuendekeza njaaa.Hatushindani kubebwa mkuu, mpira ulikuwa mzuri na refa alikuwa fair, Dodoma wamefanya makosa kwenye boksi wamesababisha penati wakapoteza.
Sasa goli la Ken Gold linatofauti gani na lile alofunga Azizi Ki kule SA?Lile ni goli?
Angalia kipyanga cha mwisho
Pia hiyo ni ishara kua leo mmebebwa
Penati halali ile ila hukatazwi kuifuta boss.Hakuna penalty pale ni muendelezo wa upuuzi wa marefa kwa kuendekeza njaaa.
Njaa inadhalilisha Sana.
Kama hamumhitaji ilikuwaje mkamfungia kwenye kisanduku siku ile?Tutalipa...tulijua tutalipa Kwa sababu hatukuwa tunamhitaji na tusingeendelea kuwa naye!!
😆😆🤣🤣 hiyo Miko ya kukoroga nya kule nyuma hawawezi kuichomoa. Wenyewe wanakwambia wanasikia rahaaaa.Priiiiiiiiiii. Refaliii aitwaye Topolo lia lia anafuta goli pale. Dk ya 97 0-0.
Priiiii, lile goli Topolo Lialia kawapatia Dom pale ni 1-0
Priiiiiiii Topolo lia lia anamaliza kabumbu pale. What a game.
Utopolo wote wanachomoa mwiko na wanarusha juu hewani kwa furaha. Hureee hureee, ni mikoromo tu inasikika.
Mpira ulivuka uleWeka video ya hilo goli tuone mpira ukivuka mstari.