gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Hilo timu bovuHawa wagogo wametumwa au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo timu bovuHawa wagogo wametumwa au?
nyau ana chapwa leo amini, labda ipatikane red card ama penatiSimba hafi kama kuku, wewe uliyetoroka dimbwini kumbuka hilo.
Hivi pira likoje? Maana siangalii,halafu nimebet moyo na figo zipatikane goli mbiliMADUNDUKA kimyaaaa 😜 chezea Wagogo mtalala na viatu leo.
huta amini kitakacho tokea kwa nyau leoHawa Dodoma watatema bungo sasahivi wataumia
KabisaGood move. Mukwala ameshindwa kumsaidia Ateba.
😁😁😂😂😂😂😁😁huta amini kitakacho tokea kwa nyau leo
Mimi huwa sivutiwi na simba ikicheza. Nasikia tu, umaliziaji ni zero point zero. Yaani tia maji, tia maji huko 😅Hivi pira likoje? Maana siangalii,halafu nimebet moyo na figo zipatikane goli mbili
Ana mikimbio ila kama hatoi pasi inakuwa mikimbio isio na maana.Huyu Kelvin Kijili pimbi eti eeeh? Kilichomfanya akimbie bila kutoa pass kwa wenzake walio kwenye position ni nini?
Mule timu hakuna,we ngoja hiyo oktobaMimi huwa sivutiwi na simba ikicheza. Nasikia tu, umaliziaji ni zero point zero. Yaani tia maji, tia maji huko 😅
Alisajiliwa kwa sababu tu ya mbio zake ila akili ya maamuzi iko chini kwa class ya SIMBA...kwenye
Wabovu utopoloHilo timu bovu