Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu sijui hawajui sheria za soka, mtu kakatwa ndani ya 18 hlf eti sio penati khaaa. Sijui hawaoni au ni kusudiPenati halali kabisa ile. Hadi kamuumiza mchezaji acheni ushabiki maandazi.
tunza kizazi!Km Yale ya Ken gold, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ivo mkuu, makolo wanabebwa waziwazi bila aibuTeh teh 😃 😃 😃 noma sana hii...
Simba wanacheza kwa swaggaMADUNDUKA kimyaaaa 😜 chezea Wagogo mtalala na viatu leo.
Km ya Ken gold, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nibeeebeeeeee nibeebeeee
Nilijua tu Mrs.Sean Combs utajitokeza. We umeona beki wa Dodoma Jiji kacheza mpira pale?
Nilijua tu Mrs.Sean Combs utajitokeza. We umeona beki wa Dodoma Jiji kacheza mpira pale?
İle ni penalty uwe unatizama hata premier leagueNdo ivo mkuu, makolo wanabebwa waziwazi bila aibu
Utawaweza utopolo basi.Watu sijui hawajui sheria za soka, mtu kakatwa ndani ya 18 hlf eti sio penati khaaa. Sijui hawaoni au ni kusudi
umesahau offside zenu za juzi kwa Azam🤣Km Yale ya Ken gold, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwe na panga pembeni ya uwanjaNini kifanyike