mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
tukupe filimbiMpira wetu huu halafu hawa ndio kocha wao alikiwa anasema wanahitaji VAR.Mechi ya pili hii wenzetu msimu huu mnabahati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tukupe filimbiMpira wetu huu halafu hawa ndio kocha wao alikiwa anasema wanahitaji VAR.Mechi ya pili hii wenzetu msimu huu mnabahati.
Ww ndo uhamie huko sbb hujui sheria za soka.Hebu hamia kwenye rede na kombolela
Naandika barua keshoPeleka ombi FIFA
Mpeni kocha wenu aliye lalamikia VAR kwenye ngao ya hisani.tukupe filimbi
BL tuliaa, subiriii game yako ya baadae, na nyie mbebwee.Simu moja, inabadili kila kitu.
K.simba: Mnatukamia sana mzee, hawa watu watanitoa.
K.D. Jiji: Limeisha hili mzee. After HT kijana wangu mmoja atamvuta, kijana wako sehemu ya hatari. Mpate hata kapenalt.
After HT...
Dodoma Jiji 0 - simba Penalt 1.
[emoji847]
Sheria za kwenye kahawa zimekukaa sana kichwaniWw ndo uhamie huko sbb hujui sheria za soka.
Wee subirii match yako ya baadae, hii unatesekaa buree tyuuh.Mpeni kocha wenu aliye lalamikia VAR kwenye ngao ya hisani.
0-1Mpeni kocha wenu aliye lalamikia VAR kwenye ngao ya hisani.
Jikaze naona maumiv yanaelekea avic town 🤣Simu moja, inabadili kila kitu.
K.simba: Mnatukamia sana mzee, hawa watu watanitoa.
K.D. Jiji: Limeisha hili mzee. After HT kijana wangu mmoja atamvuta, kijana wako sehemu ya hatari. Mpate hata kapenalt.
After HT...
Dodoma Jiji 0 - simba Penalt 1.
🤗