FT: DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

FT: DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
20241010_215530.jpeg
 
Ila Kuzaliwa Nchi nyingine wakati mwingine sio fair Hiv Max ni wakukosa namba timu ya Congo? Yao Kwasi na Pacome ni wakukosa namba Ivory Cost? nina wakika wangekuwa watanzania wasingekosa first eleven yetu.
Haya yote magarasa tu. Ndio maana wapo Yanga.Wengekuwa na uwezo wangekuwa Timu za Kaskani mwa Africa. Mfano Mayele
 
Ngoja usikie malalamiko sasa!
Ooo refa alitunyima penat! Ooo Wachezaji tulinyimwa posho!
Tutaendelea kuwa wasindikizaji labda CCM ikitoka madarakani.
 
Mzize amejua kuliheshimisha taifa. Hongera sana Mzize na tunamshukuru sana mama
 
Alhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku

Pia soma ~ Samatta arejeshwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi ya kufuzu AFCON 2025 vs DR Congo


Updates.....

Kipindi cha kwanza cha mchezo kimeanza

Dakika, 9 Mpira upo kasi sana na bado milango ni migumu kwa pande zote mbili

Dakika, 17 Ngoma bado ngumu si Mwenyeji DRC wala si Tanzania

Dakika, 30 Si Stars wa DRC ambaye amepata goli mchezo upo on fire

Dakika 45 za kipindi cha kwanza kimetamatika DRC 0-0

Kipindi cha pili kimeanza

Dakika, 53 Gooooli DRC wanapata goli la kuongoza

Dakika, 58 Taifa Stars wanafanya mabadiliko anatoka Kibu anaingia Saduni

Dakika, 70 Taifa Stars wanatengeneza nafasi na kumiliki mpira

Dakika, 81 DRC wanashambulia sana dakika hizi
Kama vile jina taifa stars lilivyotuganda,ndivyo tulivyomganda samanta,
na hicho ndicho kinachotughalimu katika tasnia hii ya mpira.
 
Ukiwasikiliza wachambuzi wa soka wa kibongo unaweza kudhani Tanzania ina timu kiwango cha dunia 😂

Anyway, nmefurahia matokeo
 
Ifike pahala team yetu iachane na baadhi ya wachezaji sasa jamani. Sioni tena thamani ya huyu mnayemuita champion boy, bora akapumzika kwa heshima tu awaachie wengine
 
Ila Kuzaliwa Nchi nyingine wakati mwingine sio fair Hiv Max ni wakukosa namba timu ya Congo? Yao Kwasi na Pacome ni wakukosa namba Ivory Cost? nina wakika wangekuwa watanzania wasingekosa first eleven yetu.
Na huu usimba na uyanga huu ndio unaoipa nchi aibu wenzetu nchi zao zina angalia taifa kwanza wameset priorities na siyo ushabiki ukiona hivyo ni kuwa kuna waliobora zaidi yao km unavyojua DR congo ivory cost ni nchi zenye mpira na vipaji vingi kulinganisha na bongo huo usimba uyanga umeigharim nchi mtu uwezo mdogo hata club yake inajua ndio maana huwa anaanzia sub leo anachezeshwa vipindi viwili lazima awape mlicho stahili
 
Comments za wabongo mkishindwa kitu huwa mnachekesha sana.
 
Hamna haja ya kumsema Mzize pale yoyote anaweza kukosea...kikubwa hatujafungwa nyingi....
Na kikubwa tusingefungwa kabisa leo...
Mzize alimpa mpira adake yeye kwa mbwembwe ndio anausogeza zaidi golini. kipa bongo hatuna.
 
Walishalegea sana tena ni kwao, wamepgopa sana Taifa Stars, umeona jinsi Wakongo hawashangilii wanatoa mimacho kwa uoga, wakija kwa Mkapa tunapiga na kuwapoteza hadi watasema hii ni Taifa Stars au Israel inapiga Lebanon..!! Tunapiga miguu wataacha kwa Mkapa…. Aaaaarrrghhhrrrrr🤬🤬😡😡👺👺👹👹
yap, tukiwapiga wao watakuwa na point 9 sisi 7. so wat?
 
Back
Top Bottom