Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Tumefungwa na Yanga na sio congo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mzee wewe wa kitambo a see maana hawa kizazi cha JK hawaijui hiyo kituquality kama nipo waptrick
yanga waiadhibu taifa stars vibaya mno,japo taifa stars walijitahidi kupambana na congoTumefungwa na Yanga na sio congo
Mungu amejibu maombi ya wengi, huu ushindi ni wa penda uzalendo wote.Alhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku
Pia soma ~ Samatta arejeshwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi ya kufuzu AFCON 2025 vs DR Congo
Updates.....
Kipindi cha kwanza cha mchezo kimeanza
Dakika, 9 Mpira upo kasi sana na bado milango ni migumu kwa pande zote mbili
Dakika, 17 Ngoma bado ngumu si Mwenyeji DRC wala si Tanzania
Dakika, 30 Si Stars wa DRC ambaye amepata goli mchezo upo on fire
Dakika 45 za kipindi cha kwanza kimetamatika DRC 0-0
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika, 53 Gooooli DRC wanapata goli la kuongoza
Dakika, 58 Taifa Stars wanafanya mabadiliko anatoka Kibu anaingia Saduni
Dakika, 70 Taifa Stars wanatengeneza nafasi na kumiliki mpira
Dakika, 81 DRC wanashambulia sana dakika hizi
Wamaanisha zama za kina Amir Maftah na babake Maximo?Timu ilikua na mpira mzuri na hamasa kipindi cha kocha mbrazili pekee from there hakuna kitu
striker wa maana lazma apige baoNilitaka kushangaa yaani mpira uishe MZIZE hajapiga bao.View attachment 3121285
tuheshimiane mkileta uccm kwa mkapa mnakula 3 bilaKwa mkapa awatoki
Mhh hebu acha kumtetea sema ni bahati mbaya kwa mzize..haihusiani na kipa..Mzize alimpa mpira adake yeye kwa mbwembwe ndio anausogeza zaidi golini. kipa bongo hatuna.
Hongera DRC
WapdamKumbe mzee wewe wa kitambo a see maana hawa kizazi cha JK hawaijui hiyo kitu
Afadhali na Kibu DKafanyeje