FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Hakunaga mchezaji apoMzize kaona asitoke bila goli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakunaga mchezaji apoMzize kaona asitoke bila goli
We umeiona akili ya Ally Salum?Ningeshangaa mchezaji wa utopolo asitoe boko
Wapigwe nyingi hao wana wa ccmBado moja
🤣🤣🤣 Pamoja na hilo ila Kipa nae hakutumia akili unaache goli wazi hivyo?Huyu Mzize kama ana akili timamu hili swala litamuharibu kisaikolojia na tarehe 19 anapaswa kucheza kinyonge
Kinyume na hapo hana akili.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hakunaga mchezaji apo
Mpira umempita kipa Mzinze ukamshtukiza na kumgonga ndiyo ukaingia, sasa hapo imuathili vipi kisaikolijia?Huyu Mzize kama ana akili timamu hili swala litamuharibu kisaikolojia na tarehe 19 anapaswa kucheza kinyonge
Kinyume na hapo hana akili.
Jamaa aage kuachana na timu ya Taifa ili tuachane naye kwa heshima, hivi hivi atapigwa chini kama gunia la mahindi, jomba na chawa zake zije kulialia mitandaoni.Sijawahi kuona mchango wa Samatta kwenye kikosi cha Taifa stars kwa miaka ya hvi karibuni. Timu huwa inacheza angalau vizuri kama Samatta hayupo kikosini kuliko akiwepo. Bora hata Msuva huwa anafurukuta.
Ally salm kila mtu anajua ni garasa ila mzize mizengoWe umeiona akili ya Ally Salum?
kwenye hilo goli au umeona boko la Mzize
Halafu mnashangaa kwa nini Simba tuna makipa 5. Salum sijawahi kumkubali🤣🤣🤣 Pamoja na hilo ila Kipa nae hakutumia akili unaache goli wazi hivyo?
Mchawi utamjua tu!!Kuwafunga wakongoman labda watake wenyewe tuu ila kiufupi hata sare ni ngumu kwetu