FT: DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

FT: DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

Team inacheza vizuri sana na kwa malengo kwa Hawa DRC tukipata draw zote mbili itakuwa poa kabisa Kisha tuwakande Ethiopia na guinea
 
Tunacheza vizuri kwa malengo. Naamini tutaambulia hata point moja
 
Congo wanatakiwa waipige Staz goli nyingi ili wakija kutoka sare nyumbani Staz iondolewe kabisa kwenye mashindano lolote liwakute Staz
 
Back
Top Bottom