gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Pira likoje?..maana sikwenda banda umiza,niliwaamini DStvDe simba, de yung afrikans
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pira likoje?..maana sikwenda banda umiza,niliwaamini DStvDe simba, de yung afrikans
Alhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku.
Updates.....
Kipindi cha kwanza cha mchezo kimeanza
Dakika, 9 Mpira upo kasi sana na bado milango ni migumu kwa pande zote mbili
Dakika, 17 Ngoma bado ngumu si Mwenyeji DRC wala si Tanzania
Leo tunaua mtu 🇹🇿View attachment 3120450Alhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku
View attachment 3121211
Updates.....
Kipindi cha kwanza cha mchezo kimeanza
Dakika, 9 Mpira upo kasi sana na bado milango ni migumu kwa pande zote mbili
Dakika, 17 Ngoma bado ngumu si Mwenyeji DRC wala si Tanzania
Dakika, 30 Si Stars wa DRC ambaye amepata goli mchezo upo on fire
Kwani TV yako siyo 4K au 8K HD?
Tunapelekewa moto tu 😂.Pira likoje?..maana sikwenda banda umiza,niliwaamini DStv
Hiyo ndiyo kawaida yetu kwa kocha huyoTunapelekewa moto tu 😂.
Kazi yetu kuzuia tu
Hapa ngoma ngumuHiyo ndiyo kawaida yetu kwa kocha huyo
Tufungwe goli mbili mi mkeka utiki nikanunue mboleaTupate draw tu hapa
NakuombeaTufungwe goli mbili mi mkeka utiki nikanunue mbolea
Huyu kocha wa Taifa stars afungiwe jiwe shingoni atupwe baharini katikati. Anakula tu pesa zetu. Timu haijulikani hata inacheza nini, morale ya wachezaji ipo chini n.kHiyo ndiyo kawaida yetu kwa kocha huyo
Mmepakiwa mkongo!Tunapelekewa moto tu 😂.
Kazi yetu kuzuia tu
Aisee nani mchoyo huo?Leo hii mechi tunaanza kufungwa saa ngapi?
Nilifikiri nateseka mwenyewe 🤣🤣🤣Hii mechi nilikuwa nina hamu ya kuangalia ila nimeshindwa kuendelea kuangalia, hii mechi ukikomaa kuangalia hadi iishe lazima umeze panadol sio kwa quality hii.
Alelo tozo kanga ba Tanzaniens
cTunapelekewa moto tu 😂.
Kazi yetu kuzuia tu
Acheni uongo, mnadhani Congo DR ni Sudan ya kusini?Huyu kocha wa Taifa stars afungiwe jiwe shingoni atupwe baharini katikati. Anakula tu pesa zetu. Timu haijulikani hata inacheza nini, morale ya wachezaji ipo chini n.k
Hatuko vibayaPira likoje?..maana sikwenda banda umiza,niliwaamini DStv
eloko ezali teA
c
Acheni uongo, mnadhani Congo DR ni Sudan ya kusini?
Wanacheza vizuri sana japo umakini kwenye kutumia chances waongeze.
Mzee unataka achezaje na congoHuyu kocha wa Taifa stars afungiwe jiwe shingoni atupwe baharini katikati. Anakula tu pesa zetu. Timu haijulikani hata inacheza nini, morale ya wachezaji ipo chini n.k