Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
Chadema utawajua tuLolote baya liwakute.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema utawajua tuLolote baya liwakute.
Tatizo kubwa ni TFF, hao ndio wachawi mwa maendeleo la soika letu hasa huyu Karia/ Makocha wa timu za taifa wote ni bomu.Tukicheza kwa kujiamini Congo tunabatle nao vizur leo.
quality kama nipo waptrickTena kama Congo ndio huwa upupu zaidi, mechi nyingi za Mazembe huwa production mbovu, mfano msimu uliopita dhidi Petro De Luanda.
😁😁😁😁quality kama nipo waptrick
Hicho kifaransa mkuu, siyo kilingaraHua napenda sana kiringala...
Ndenge nini papaa...
Tanzanee batalokota kunyavu..
Nadhani congo ndio quality yao Bora sana.Hii Quality ni mbovu sana.
Acha lawama pimbi weweTatizo kubwa ni TFF, hao ndio wachawi mwa maendeleo la soika letu hasa huyu Karia/ Makocha wa timu za taifa wote ni bomu.
lelo tozo kanga ba TanzaniensHicho kifaransa mkuu, siyo kilingara
Daah yaan sio poa me mara ya kwanz ilibidi nikamate remote na kueka ten nokajua ilijibonyez bahat mbaya ikaondoka kumb ndo wenyewe bhn 🤣Hii Quality ni mbovu sana.
Kumbe Tanzania tuko juu sana kwenye television broadcasting.Hii Quality ni mbovu sana.
Hamna lawama kwenye ukweli. Acha hasira!Acha lawama pimbi wewe
Huyo chadema ni beki au winga sijaelewa fafanuaChadema utawajua tu
Nadhani congo ndio quality yao Bora sana.
Doze doze papaaBatanzania penda Mo Hussen, Hamuza na Salim