yaani ni kama itakavyokuwa vigumu Simba kuifunga Yanga tarehe 19. LABDA YANGA WATAKE WENYEWE, ila kiufupi hata sare ni ngumuKuwafunga wakongoman labda watake wenyewe tuu ila kiufupi hata sare ni ngumu kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani ni kama itakavyokuwa vigumu Simba kuifunga Yanga tarehe 19. LABDA YANGA WATAKE WENYEWE, ila kiufupi hata sare ni ngumuKuwafunga wakongoman labda watake wenyewe tuu ila kiufupi hata sare ni ngumu kwetu
Haihusiani tunajadili timu ya taifayaani ni kama itakavyokuwa vigumu Simba kuifunga Yanga tarehe 19. LABDA YANGA WATAKE WENYEWE, ila kiufupi hata sare ni ngumu
Oya unacheka nn issue ya Kitaifa hii
Baelezee baambie baeleweDah hiki kikosi, eti Mzize na Kibu ni wachezaji wa kutegemewa
Hahaha mie hata SiwaziiDah hiki kikosi, eti Mzize na Kibu ni wachezaji wa kutegemewa
Kukosa sio namba kwenye mataifa hayo sio la kushangaza, wachezaji wazuri wapo wengi huko.Ila Kuzaliwa Nchi nyingine wakati mwingine sio fair Hiv Max ni wakukosa namba timu ya Congo? Yao Kwasi na Pacome ni wakukosa namba Ivory Cost? nina wakika wangekuwa watanzania wasingekosa first eleven yetu.
Panga kiherufiHapa nashindwa nichague ipi ila zote ni timu zangu mungu ibariki DRC na Tanzania
Dozee dozee papaa mukuruuPigaa Hawa bamutu ya Tanzania
africa stream ikitoka channel nyingine ni kasheshe