ZVI ZAMIR
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 921
- 2,163
Ngoja leo nifuatilie ili niwe na uhakika na hiliHiyo Channel inaonesha mpira kwa quality ya chini sana. Likifungwa goli huwezi kujua limeingiaje. Kwa ujumla hata huwezi kuinjoy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja leo nifuatilie ili niwe na uhakika na hiliHiyo Channel inaonesha mpira kwa quality ya chini sana. Likifungwa goli huwezi kujua limeingiaje. Kwa ujumla hata huwezi kuinjoy.
Trust me, utajionea ndugu yangu.Ngoja leo nifuatilie ili niwe na uhakika na hili
Dua la mwewe, halimpati kukuLolote baya liwakute staz
Nasema wapigwe goli 3 hao staz wa mama KDua la mwewe, halimpati kuku
Na ikawe hivyo😅😅😅Nasema wapigwe goli 3 hao staz wa mama K
Na iwe hivyo😂😂😂Na ikawe hivyo😅😅😅
hao level yao ni kucheza yanga tu mahali ambapo vyura wanawaabuduIla Kuzaliwa Nchi nyingine wakati mwingine sio fair Hiv Max ni wakukosa namba timu ya Congo? Yao Kwasi na Pacome ni wakukosa namba Ivory Cost? nina wakika wangekuwa watanzania wasingekosa first eleven yetu.
Huko kwao walianza muda kujituma kwenye mpiraIla Kuzaliwa Nchi nyingine wakati mwingine sio fair Hiv Max ni wakukosa namba timu ya Congo? Yao Kwasi na Pacome ni wakukosa namba Ivory Cost? nina wakika wangekuwa watanzania wasingekosa first eleven yetu.
Vikosi tayariView attachment 3120450Alhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku
Saa mojaLeo hii mechi tunaanza kufungwa saa ngapi?