Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ni hiyo tuhakuna chaneli nyingine inayoonesha hii mechi?
Azam wamechemshaWale wa DSTV hii game itakuwa live kupitia Chanel namba 295 inaitwa ETV kama sijakosea.
DStv wakidai tve wataonesha wakatuma na msg,tve kwenyewe katoka mwamposa imeingia taarifa ya habarihakuna chaneli nyingine inayoonesha hii mechi?
soki tolongi okopekisa bisoDoze doze papaa
Blaza Mimi ni nyuma mwiko mwenzio lakini Kwa hapa sikuungi mkonoyaani ni kama itakavyokuwa vigumu Simba kuifunga Yanga tarehe 19. LABDA YANGA WATAKE WENYEWE, ila kiufupi hata sare ni ngumu
Uyo mwamposa ametawala san iyo tv 😀DStv wakidai tve wataonesha wakatuma na msg,tve kwenyewe katoka mwamposa imeingia taarifa ya habari
Inaelekea anatoa hel kubwaUyo mwamposa ametawala san iyo tv 😀
Savaa sava mokolo na ngoisoki tolongi okopekisa biso
yeah inawezekanaInaelekea anatoa hel kubwa
Kwani TV yako siyo 4K au 8K HD?Hii mechi nilikuwa nina hamu ya kuangalia ila nimeshindwa kuendelea kuangalia, hii mechi ukikomaa kuangalia hadi iishe lazima umeze panadol sio kwa quality hii.
Wanakimbia kama wamefungwa mawe miguuniTaifa stars wanacheza utadhani ni wazee hawana uchangamfu na maamuzi ya haraka! KOBE PLAYING STYLE!
Kwani blaza hujui Simba ndo klabu maarufu ukanda huu wa Africa mashariki na kati?Sisi Uto hatufurahishwi na mtangazaji kuitaja Simba kila mara
Nazali moto ya sauvage?Savaa sava mokolo na ngoi