FT: Geita Gold FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Kirumba Stadium | 12.02.2024

FT: Geita Gold FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Kirumba Stadium | 12.02.2024

Ila Walimwengu waacheni tu, Kuna mmoja Ka komenti hapo juu eti Katika Mechi 4 zilizopita

Yanga Kabebwa na Marefa mechi 2... Ya Kagera Sugar
na Prison...
wakati Simba Kanyongwa wazi wazi Mechi na Azam.

Yanga anaongoza Kubebwa mwaka huu.
 
Vip lakin mbona ushindi wa shida sana,kwan Papaa Omary wa Njombe au Fredy Kulwa hawakucheza leo?
 
Ila Walimwengu waacheni tu, Kuna mmoja Ka komenti hapo juu eti Katika Mechi 4 zilizopita

Yanga Kabebwa na Marefa mechi 2... Ya Kagera Sugar
na Prison...
wakati Simba Kanyongwa wazi wazi Mechi na Azam.

Yanga anaongoza Kubebwa mwaka huu.
Mbeleko fc...yani tajiri yao ana hela za kufuga majini yanamtapikia hela za kugawa...
 
Dah afadhali aisee mana hizi mechi hua tunacheza na timu husika, marefa, gongowazi, na mwishowe MAJINI...
 
20240212_183624.jpg
 
Back
Top Bottom