Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Yani ule uwanja siku ile ulikua ni devil wwa dhidi ya mnyamaTuliwatupia na nyie mkala tano,round ya pili tuna tuma platoon nzima.
Namnukuu Manara.."usiamini derby unaweza dhani wanacheza watu kumbe ni majini yanacheza" mwisho wa kunukuu...