Yani ule uwanja siku ile ulikua ni devil wwa dhidi ya mnyamaTuliwatupia na nyie mkala tano,round ya pili tuna tuma platoon nzima.
Kwa msaada wa MAJINIMtani na mpaka mkifika kwenye hiyo safari yenu ndefu [emoji12] basi huku sisi tumeshatangaza ubingwa.
Mnawalumu mnapobebwaga?Tunalaumu kwny ukweli
Sasa kwa nini mlimuondoa Robertinho wakati sababu mliijua?Yani ule uwanja siku ile ulikua ni devil wwa dhidi ya mnyama
Namnukuu Manara.."usiamini derby unaweza dhani wanacheza watu kumbe ni majini yanacheza" mwisho wa kunukuu...
Tulia mwana Utomajini..alitakiwa apangue makombora...Sasa kwa nini mlimuondoa Robertinho wakati sababu mliijua?
Simba imepigwa 'majini' miaka mitatu ndio maana mzungu WA Dula anamsihi mkongo afute Kauli. Uzuri ulozi ukishajulikana ndio mwisho wake.πDah afadhali aisee mana hizi mechi hua tunacheza na timu husika, marefa, gongowazi, na mwishowe MAJINI...
Shindwaaaa kichwa kichafu....
Majini yamewazidia naona [emoji23]
Acha basi na Fredy Kulwa kashatupiwa jini hawa Yanga hawa..Nimekugundua hujui kutaja jina la Fred hapo unajishaua eti kulwa...hahah uto ni uto...
Majini yametamalaki msimu huu..
Niko njema. Mayele anasema anapigwa misumari sijui majiniUna hali gani huko uliko Mtani? π
?Sasa hivi ukikutana na shabiki yoyote wa Yanga unamwita "Jini"
Et uto majini khaaa!!!!!dunia hiii kwel ina mamboTulia mwana Utomajini..alitakiwa apangue makombora...
Hivyo vijini tutavichapaHadi Papaa Omary wa Njombe nae kashatupiwa kajini mnyauko Yanga hawa hatari sana..
Claud Van DammeSasa hivi ukikutana na shabiki yoyote wa Yanga unamwita "Jini"
40 vs 36 unapata ngapiKwahiyo 40-33 unapata 4?