Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walai tena... 😂 😂 😂 😂Usikute pale Kanuti kapaishiwa na jini la Yanga. Sio pa kukosa pale
Ushawaona, unataka kuwatupia jini?Naona vibonde wa mabingwa wa nchi wanarukaruka uwanjani. Yaani leo ni 5G vs 3G
Karibu majini Fc.... samalekoNaona vibonde wa mabingwa wa nchi wanarukaruka uwanjani. Yaani leo ni 5G vs 3G
[emoji870]Karibu majini Fc.... samaleko
Andika vizuri kuwa timu ya Mangungu.Kila lakheri team ya Mungu...
Simba sports.
Majini kama kawaida,mpaka mje kushtuka ubingwa tayari.Ushawaona, unataka kuwatupia jini?
😂Majini kama kawaida,mpaka mje kushtuka ubingwa tayari.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Kiukweli kuangalia simba ya miaka ya hivi karibuni ikicheza huwa ni mateso kweli, hakuna ladha ya football, ni kusubilia goli lifungwe ki ndondokela basi kisha mrudi nyumbanUshawaona, unataka kuwatupia jini?