princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Yani nilikua naandika meseji ya kumchamba mtu hapa imebidi niifuteusije ukajipasua nyonga mama nitalala na nani usiku wa leo..😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nilikua naandika meseji ya kumchamba mtu hapa imebidi niifuteusije ukajipasua nyonga mama nitalala na nani usiku wa leo..😂
Uzalendo upo.Nmeruka kama mwehuuu
Wameshawajulia butua nje ya 18Stars wanatakiwa washinde hii game, sema wanakatika katika. Hawa Guinea wanafungika kwa uchezaji huu sema Stars nao ndo vile
GG imetiki hukoUzalendo upo.
Kuna watu wanashangilia kote kote 🤣
Mungu atusaidie saizi wanachangamkaTuombe Mungu jamani
ukitulize sasa...Yani nilikua naandika meseji ya kumchamba mtu hapa imebidi niifute
Hapo muruaFeisal abdallah Salum Feitoto
Dakika 61'
GUINEE 1 - 1 TANZANIE
Unaweza kuta tatizo sio kocha tatizo posho hazijalipwaNaomba CV ya kocha wa Taifa Starz asijekuwa kapewa hiyo nafasi kwa ukada wa chama tawala au uchawa. Wachezaji siyo wabaya kihivyo naona tatizo ni HUYU KOCHA.
Ameniudhi ndo mana mwamnyeto skuizi anatokea benchiBacca anapambana mwamnyeto yuko hapo anakabia macho
Ilinishangaza sana tangu mwanzoni kumchukua Ally Salim kama kipa wa Taifa kisa alibahatisha kuzuia penalty
Hamna kitu pale
Maneno hayaishi...Tuacheni maneno wakuu
Salim kajitahidi sana
Alijitahidi lini?Tuacheni maneno wakuu
Salim kajitahidi sana
Kwahiyo leo pale alikua anaruka ruka?Alijitahidi lini?