FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

Ni lazima tukubali udhaifu wetu kwenye mipira ya kutenga, hatutakiwi kuruhusu kona nyingi golini kwetu wala faulo karibu na eneo letu la hatari.

Lakini kwa ujinga ninauona leo kwa hawa mabeki wetu (hasa Onyango na Kapombe), muda sio mrefu tutawaka.
Nimesema hapa, kisha baada ya muda kidogo tu mambo yamejipa.

Kama tutaendelea kuruhusu kona za kila mara, tutakufa zaidi ya goli 3.
 
Simba inafungwa goli la kijingaa... Hovyo kabisaa ..
 
Linapokuja swala la TAIFA hua napenda kuwa mtanzania ila nkikumbuka kejeli za bob nani yule aaah
 
Safi sana wameyatungua maana yana enjoy kujizungusha zungusha nyuma,mbele hayaendi na yanacheza kama vile underdog..

Tandika mengine Horoya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…