FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

Vyura wa JF wana tabia za kufanana na vyura wa matopeni, wote huwa hawaonekani mpaka mvua inyeshe, hawa huku wakisikia Simba Sc kafungwa wanaibuka ...
 
Muingizeni moses phiri. La sivyo mtabatizwa kwa moto
Hajacheza mechi nyingi huyo hawezi kuingizwa mapema hivi, hii team iliyoanza haina ubaya wowote kinachotakiwa ni kuepuka kona na faulo za kijinga huko nyuma.

Siwaona Horoya wakiwa na uwezo wa kutufunga goli la mikimbio zaidi ya mipira iliyokufa.
 
Horoya FC Wanafungua turbo balaaaa....full mikimboo
 
Onyango anacheza madhambiiiiiii duuuuh lefa anawabeba makolo......siyo penati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…