Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #741
Mechi ya Simba lakini wamejaa Yanga kwenye uziIla twendeni guinea turudi Tunisia mechi ya Simba huvutiaga sana ...yani pipo are so machi interestedi oni iti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi ya Simba lakini wamejaa Yanga kwenye uziIla twendeni guinea turudi Tunisia mechi ya Simba huvutiaga sana ...yani pipo are so machi interestedi oni iti
We si unaona huu uzi ulivyozizima...Ila twendeni guinea turudi Tunisia mechi ya Simba huvutiaga sana ...yani pipo are so machi interestedi oni iti
Rage ni mtu makini mkuu,Kuna aliyoyasema usiyapuuzeNa ndio shida yenu yaan simba ni kama mnamatatizo hivi
Wanapishana kwny typing kama viwavi jeshiMechi ya Simba lakini wamejaa Yanga kwenye uzi
Alisikika Mbumbumbu mmoja akiwa na jezi ya VunjabeiSasa Hesabu zibaki hivi.
Tu draw na Raja kwa Mkapa watufunge kwako point 1
Tumfunge Horoya Kwa Mkapa 3
Huyu vipers tumpike nje ndani 6
Jumla 10.
Wakati Yanga inasajiri nyinyi mkaona ni akili kwenda Dubai, uchaguzi umekuja kuwaondowa wababaishaji mkaletewa Manzoki wakati dirisha limeshafungwa ili mpigie naye Picha, hivi MNA akili kichwani kweli?Bocco katuangusha sana hii game.
Bocco ni mtu wa kumuingiza dakika ya 80 wakati mmeshapata ushindi. Huo ndiyo ukweli. Hawezi hata kucontrol mpira, nguvu hana tena.Ulitaka aingie nani? Haikuwa siku nzuri tu ila kila kitu kilikuwa perfect.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Njaa amaSasa ole wenu Mwananchi ashinde kesho
Mimi Manyema Rangers,mkuki wa SumuMechi ya Simba lakini wamejaa Yanga kwenye uzi
Kwa mkapa hakuna mtu atapona.Sasa Hesabu zibaki hivi.
Tu draw na Raja kwa Mkapa watufunge kwako point 1
Tumfunge Horoya Kwa Mkapa 3
Huyu vipers tumpike nje ndani 6
Jumla 10.
[emoji23][emoji23][emoji23] Raja Casablanca anakuja kumaliza kaziSi mara ya kwanza kuanza hivi lakini ikaingia robo fainali
Apewe muda Bado ni kijana wetu mdogo,anakuaBocco katuangusha sana hii game.
Imeisha hiyoMechi imeisha mpira tumeuona, wachezaji wamejituma kwa kiasi chao japo Bocco ameliwisha
Ila hawa vibweka wakija Lupaso tutapiga kama umbwa
Hakuna makosa ya kimbinu kwenye mchezo wa leo, makosa yalikuwa ni yale ya ujinga wa mchezaji mmojammoja (Bocco na Onyango).Sio mbaya, tujipange kwa mechi zijazo naamini mwalimu atayafanyia kazi makosa ya mchezo wa leo.
Nguvu Moja