Jifunze kuwa shabiki halisi wa mpira na si shabiki mihemuko. Unaona kabisa Boko alivyoleta uhai mbele na kuwafanya mabeki wa horoya wabaki nyuma. Timu imecheza vzr hasa kipindi cha pili. Tusilaumu sana wachezaji tunapofungwa.Mhhh striker mwenye Bocco, bora tisa angesimama Phiri.