Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Horoya hawezi kupata sare kwa mkapa, HAWEZI.Sisi Horoya, tunampiga Vipers nje ndani, then tunaenda kutafuta draw moja kwa Mkapa, kwisha habari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Horoya hawezi kupata sare kwa mkapa, HAWEZI.Sisi Horoya, tunampiga Vipers nje ndani, then tunaenda kutafuta draw moja kwa Mkapa, kwisha habari!
Kwani zamani walikua wapo wazuri gani??Kwa wachezaji gani wa kufanya uongoze kundi, kina Baleke, Kibu, Sawadogo na Bocco au kuna wengine
Tusubiri Mpira si uzalishaji wa Mo extra,Wewe ni kichaa.
tatizo ni kwamba makolo wamefungwa kama vipi muwaazime mafundi wakata umeme wenu maana wanawezea sana ili wakasaidie katika nafasi ya kulinda goliNdugu mteja pole kwa changamoto unayopitia tafadhali tunaomba kujua tatizo lako tukuhudumie ^EB
Hizi kauli za kusajili uliziongea sana enzi zile bado mnashiriki CAF na ukadai michuano ikianza tutaziona pumba na mchele, mpaka sasa huko CAF mmetoka nyinyi.Wakati Yanga inasajiri nyinyi mkaona ni akili kwenda Dubai, uchaguzi umekuja kuwaondowa wababaishaji mkaletewa Manzoki wakati dirisha limeshafungwa ili mpigie naye Picha, hivi MNA akili kichwani kweli?
Sasa subilini Feitoto atakuja kuwasaidia Lupaso na Raja Casablanca.
Ma upuuzi hakuna cha usajili wala nini ni vyenga tuu humo kwao...hakuna hata tishio...bora feisaliHizi kauli za kusajili uliziongea sana enzi zile bado mnashiriki CAF na ukadai michuano ikianza tutaziona pumba na mchele, mpaka sasa huko CAF mmetoka nyinyi.
Hiyo PhD umenunua dollar ngapi?
[emoji1][emoji23][emoji23]
View attachment 2514045
Yanga imetoka CAF lini? Nielimishe mkuu, naomba uwe na adabu na hii PhD.Hizi kauli za kusajili uliziongea sana enzi zile bado mnashiriki CAF na ukadai michuano ikianza tutaziona pumba na mchele, mpaka sasa huko CAF mmetoka nyinyi.
Hiyo PhD umenunua dollar ngapi?
Khee kumbe ni ww mwenye phd?Yanga imetoka CAF lini? Nielimishe mkuu, naomba uwe na adabu na hii PhD.
Ni PhD na siyo phd.Khee kumbe ni ww mwenye phd?
Ukute ww ni Msukuma yule wa Geita Mb
Jamani si nimeandika tuu kwa herufi ndogo doktaNi PhD na siyo phd.
Hello dear, matokeo yakoje kwani 😁Kesho tutahakikisha uzi wa Utopolo unafikia 2k kwa vicheko vyetu yani mtalouwaaa