Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makolokolo hakuna timu, mmebakiwa kujiliwaza tu na upuuzi wenu wa "Kwa mkapa hatoki Mtu" sasa wale wanaotokaga pale huwa ni kenge?Mechi imeisha mpira tumeuona, wachezaji wamejituma kwa kiasi chao japo Bocco ameliwisha
Ila hawa vibweka wakija Lupaso tutapiga kama umbwa
Huyu alitakiwa kufungwaStatistics za SSC nzuri sana.
Mwanzo nilivyomuona Nabi na mkoti nilijua ni Walter White wakwenye Breaking Bad akiwa jikoni anapika crystal methMikoti ya boda boda
Ajabu wana Uto nyuzi zao za hivi hawaonekani kabisaa..Khee uzi unaenda one K huu kisa masimango
Kesho Dunduka la pili linaaibisha kwa kula nyingi hukoHahahahaaaaaaaa
Tatizo madunduka fc kelele nyingi. Mkiguswa kidogo mnakuwa baridiiiiiii
Wewe ni kichaa.Ivi ulitegemea Simba tungeshinda hii mechi kweli? Nakwambia ivi hatushindi mechi ata moya hii atua
Ni hoja clear chance tatu bora moja au mbili kwa striker kama yy mwenye uzoefu wa michuano hii zaidi ya miaka minne ......Si hoja sana hii. Pressure ya kuwa ugenini ni kubwa.
Kama wewe ndiyo kabisaa! Kesho utatoka tena out na Mzee,Hahaha tutakua tumeenda wapi?
Yani midomo yao mpk wafunge 😆Ajabu wana Uto nyuzi zao sa hivi hawaonekani kabisaa..
Hata uwaiteje hawaji[emoji1787]
Huyo jamaa wanamuonea aibu tu, kama bado wanamtaka inatakiwa asugue benchi kama lile la Phil Jones pale Man Utd.Bocco sijui kabla ya mechi alipiga nyeto.
Siwezi acha kuangalia si ni saa kumi? AuKama wewe ndiyo kabisaa! Kesho utatoka tena out na Mzee,
ili kumalizia weekend.
Kyombo ni specialist wetu wa friend games tu, mechi za ushindani utamtafuta Ubaya tu bure, haziwezi.Walimuingiza eti kwa sababu ya urefu wakati hata nguvu za kuruka hana. Afadhali hata Kyombo labda angekuwa na msaada zaidi.
Ni saa 1 jioni kama sijakosea.Siwezi acha kuangalia si ni saa kumi? Au
Kwani msimu uliopita ilipoingia robo fainali CAFCC ilikuwa ni Simba Sc ya kina nani?Simba ya kina kibu
Leo alikuwa na utulivu.Kibu kacheza vizuri tumsifie.
Uto wenzako wanaojua kusoma alama za nyakati wametuliaMakolokolo hakuna timu, mmebakiwa kujiliwaza tu na upuuzi wenu wa "Kwa mkapa hatoki Mtu" sasa wale wanaotokaga pale huwa ni kenge?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa wachezaji gani wa kufanya uongoze kundi, kina Baleke, Kibu, Sawadogo na Bocco au kuna wengineKila kitu kimefanyika perfect ila haikuwa siku nzuri tu. Hili kundi tutaongoza!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app