Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
super f..lNdio zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
super f..lNdio zao
Ile ya Babu Tale ni Honorary Causa, wananunuwa Kwa dollar 5000.Hii PhD yako ni kama ile ya Babu Tale?
Mabingwa wa Tanzania ni nani? Hizi ngada zinawapeleka puta.Kesho watakuwa wa moto baraa,utawasikia,kama ni wabovu nano anaongoza ligi?ndo zao izo,timu lenyewe liko shirikisho,ila linawazarau mabingwa
Simba hakucheza vizuri, sema ile Horoya ni timu mbovu, hata sijui imeingiaje hatua ya makundi!japo mie ni yanga simba leo wamecheza vizuri sana kuliko horoya
Hata Yanga dhidi ya Al Hilal kule Susan tulicheza vizuri kuzidi hata simba Jana.Hadi baada ya mechi wasudan waliylyipihia makofi,lakini mwisho wa siku tulitoka tupo Huku tuliko,Makundi yanahitaji kucheza kwa akili.Inawezekana Kufungwa Jana ndio kukaamua simba isipite huko baadaeSimba hakucheza vizuri, sema ile Horoya ni timu mbovu, hata sijui imeingiaje hatua ya makundi!
Laiti Simba angecheza vizuri angejipigia hata bao tatu.
Kwani ni lazima useme 'japo mimi ni Yanga'?japo mie ni yanga simba leo wamecheza vizuri sana kuliko horoya
ndio ili nikitoa sifa kwa simba ijulikane kuwa mimi ni yangaKwani ni lazima useme 'japo mimi ni Yanga'?
Uzuri sio utamujapo mie ni yanga simba leo wamecheza vizuri sana kuliko horoya
Haya mashindano yanahitaji mahesabu Sana....Hata Yanga dhidi ya Al Hilal kule Susan tulicheza vizuri kuzidi hata simba Jana.Hadi baada ya mechi wasudan waliylyipihia makofi,lakini mwisho wa siku tulitoka tupo Huku tuliko,Makundi yanahitaji kucheza kwa akili.Inawezekana Kufungwa Jana ndio kukaamua simba isipite huko baadae
Hujiaminindio ili nikitoa sifa kwa simba ijulikane kuwa mimi ni yanga
Nilikuambia mechi ikiisha nitakuita tumtafute wakufanana nayeMkuu Boko bado mdogo kiumri,tumpe muda mkuu
Cheka na saizi sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiwa Mwananchi kindaki ndaki, nawaombea Simba mabaya.
Naomba apigwe 3 - 0 ili kelele zisiwepo hapa mjini.
Maana hizi mbumbumbu zikitoa hata sare tu, tutakua hatukai kwa raha, vivyo zipigwe tu.
Robertinho ajengewe mnara pale msimbaziNa hili limethibitika leo
UDSM wampe PhD ya heshima Robertinho kwa kuweza kuifanya underdog, simba, kumchapa Horoya goli 7 bila majibuJE, WAJUA? Kwa ushindi wa magoli 7-0 dhidi ya #Horoya, #Simba imekuwa timu ya pili kutoa kipigo kikubwa zaidi katika historia ya Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Vipigo vitano vikubwa zaidi katika hatua hiyo ni #TPMazembe 8-0 #ClubAfricain (2019), Simba 7-0 Horoya (2023), #ASECMimosas 7-1 #CRBelouizdad (2001), #RajaCasablanca 6-0 #Yanga (1998) na #Enyimba 6-0 #BigBullets (2004)
Atiiii....?Huu mwezi ni mgumu saana kwa simba