Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tuseme inshallah mkuu,ila mi maombi yangu yapo 50/50😀 mkipigwa fresh,mkipiga inakuwa jambo la kuchukiza sanaShida nizitoe wapi wakati mahesabu hayajaharibika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuseme inshallah mkuu,ila mi maombi yangu yapo 50/50😀 mkipigwa fresh,mkipiga inakuwa jambo la kuchukiza sanaShida nizitoe wapi wakati mahesabu hayajaharibika?
Najua hujalipia king'amuzi, kesho njoo uangalie Big screen pale Jangwani uangalie mechi ya The citizensHapa jangwani jengo la njano kwa nyuma bwawani
Nikajua ni masaputa saputa 😀😀AUtajulia wapi kuandika majina ya masupa star??? 😡 😆 😆
Mi nitatoa asilimia zangu kuhusu timu yako baada ya mechi ya keshoTuseme inshallah mkuu,ila mi maombi yangu yapo 50/50😀 mkipigwa fresh,mkipiga inakuwa jambo la kuchukiza sana
Nina kativii kangu ka chogo mbele flat ndo ntaaangalizia kesho mpira spesho kwa watani zangu Utopwizo..ili niwaone kama piritoni 😆 😆Najua hujalipia king'amuzi, kesho njoo uangalie Big screen pale Jangwani uangalie mechi ya The citizens
Pole sanaIliyosagwa na kuchanganywa na maziwa kidogo
Ni wivu tuuuu unakusumbuaNikajua ni masaputa saputa 😀😀
Pole na wewePole sana
😀😀😀Chamsingi uinjoi bolu tuNina kativii kangu ka chogo mbele flat ndo ntaaangalizia kesho mpira spesho kwa watani zangu Utopwizo..ili niwaone kama piritoni 😆 😆
Nataka niwaminimaizi spidi kwny hako ka Tivii😀😀😀Chamsingi uinjoi bolu tu
Pole sana,njoo upoze machungu hata maji ya Kandoro hapa........Pole na wewe
Kwa kupigwa kamoja ka kitimoto rosti?Ni wivu tuuuu unakusumbua
Nitumie kwenye shabiby Dom la saa 12 nitayapokea mtani mwambie ayashushie Chalinze nyama...Pole sana,njoo upoze machungu hata maji ya Kandoro hapa........
Sisi kesho ushindi ni kama kawaida.Pia wa Tunisia niwabovu sanaaaaa
Mnajifariji kwa matokeo Ya kesho
Azizi K utamuona tu watu wakila matobo, usijaliNataka niwaminimaizi spidi kwny hako ka Tivii
Kesho atakua anapumulia mdomo tuu...na hivyo kuna baridiAzizi K utamuona tu watu wakila matobo, usijali
Basi sawa yatafika hukoNitumie kwenye shabiby Dom la saa 12 nitayapokea mtani mwambie ayashushie Chalinze nyama...
Usiku mwema mtaniBasi sawa yatafika huko