ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Lupaso Bocco hatakosa magoli?Mechi imeisha mpira tumeuona, wachezaji wamejituma kwa kiasi chao japo Bocco ameliwisha
Ila hawa vibweka wakija Lupaso tutapiga kama umbwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lupaso Bocco hatakosa magoli?Mechi imeisha mpira tumeuona, wachezaji wamejituma kwa kiasi chao japo Bocco ameliwisha
Ila hawa vibweka wakija Lupaso tutapiga kama umbwa
Wewe unapendekeza tucheze vp?Matacheza sijui na makoti maana hata mazoezi mnayofanya saizi mnafanya mkiwa na makoti
TawileNaona msimamo wa kundi kwa mechi za mwisho ukisomeka hivi:
1. Raja Casablanca 15
2. Horoya. 13
3.Vipers. 7
4. Simba. 4
Ukibisha njoo nimekaa pale
.
NYokanyoka/vyura/kinyefc/kandambili/gongowazi/n.k n.k
Kesho mtakula hamsa...wanaume wanawapigaga Uto kuanzia bao 4 nakuendelea moja ni udhaifu.. 😎 😆😆😆
Unakumbuka Raja 6 Yanga sufuri
Acha kufananisha hiyo takataka na International striker MayeleBocco kama Mayele
Horoya ni timu mbovu kabisa, nashangaa mbumbumbu wameshindwa vipi kupata hata sare.Horoya wameumia xana kupoteza ule mkwaju wa penati, ungewasaidia badae kwenye head to head baada ya timu kulinga
ana points, pale kwa mkapa wakija hawa % kubwa watababuliwa tu tena zaidi ya goli 2....hawa horoya kwa vipers pale uganda hawatoki mark my words
Horoya ni timu mbovu kabisa, nashangaa mbumbumbu wameshindwa vipi kupata hata sare.
Natabiri kwenye kundi lao, watakao endelea na michuano ni Vipers na Casablanca.
Kamanda niliegesha moja ya 1-1& 0-2 ndio imenitoa nilikuwa napata machungu mara 2, odd ya 4.5 imenitoa kimasomaso nakula vyombo kama vyote kwanza nimepita chako ni chako nimechukua kuku wawili nimetimba maghetoni na toto la kisandawe, maisha ndio haya ach. Tule bata, DSM wale sio Panya road kuna dalili za Kibiti Kibiti japo hawasemiMkuu wadiz niwie radhi sana ndugu yangu njoo tulewe tu hapa weekend imeanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila weweTunasubiria marehemu mwingine kesho tuunge ndege moja
Tunajipa raha tuu mkuu...maisha ndo haya haya hatutakiwi kuwa serious sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe
Mcheze kama kawaida yenu mwiko ukiwa ubaning'inia kwa nyumaWewe unapendekeza tucheze vp?
Safi sana hongera mzeeKamanda niliegesha moja ya 1-1& 0-2 ndio imenitoa nilikuwa napata machungu mara 2, odd ya 4.5 imenitoa kimasomaso nakula vyombo kama vyote kwanza nimepita chako ni chako nimechukua kuku wawili nimetimba maghetoni na toto la kisandawe, maisha ndio haya ach. Tule bata, DSM wale sio Panya road kuna dalili za Kibiti Kibiti japo hawasemi
Hii PhD yako ni kama ile ya Babu Tale?Kitaaluma unatakiwa kuandika PhD na siyo phd.
Wanataluuma tumekaa kimya muda mrefu Sasa tunavunja ukimya.
Hunaga makuu relax.Tunajipa raha tuu mkuu...maisha ndo haya haya hatutakiwi kuwa serious sana
Kesho mida kama hii nitakupa mapendekezo ya namna gani mlipaswa mchezeWewe unapendekeza tucheze vp?
Guvu moya 😀Yes, mimi binafsi huwa napenda kushuhudia kwa macho yangu mwenyewe, thimba akiteseka!