FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

Horoya wameumia xana kupoteza ule mkwaju wa penati, ungewasaidia badae kwenye head to head baada ya timu kulinga
ana points, pale kwa mkapa wakija hawa % kubwa watababuliwa tu tena zaidi ya goli 2....hawa horoya kwa vipers pale uganda hawatoki mark my words
 
Horoya wameumia xana kupoteza ule mkwaju wa penati, ungewasaidia badae kwenye head to head baada ya timu kulinga
ana points, pale kwa mkapa wakija hawa % kubwa watababuliwa tu tena zaidi ya goli 2....hawa horoya kwa vipers pale uganda hawatoki mark my words
Horoya ni timu mbovu kabisa, nashangaa mbumbumbu wameshindwa vipi kupata hata sare.
Natabiri kwenye kundi lao, watakao endelea na michuano ni Vipers na Casablanca.
 
Horoya ni timu mbovu kabisa, nashangaa mbumbumbu wameshindwa vipi kupata hata sare.
Natabiri kwenye kundi lao, watakao endelea na michuano ni Vipers na Casablanca.

Pia wa Tunisia niwabovu sanaaaaa

Mnajifariji kwa matokeo Ya kesho
 
Mkuu wadiz niwie radhi sana ndugu yangu njoo tulewe tu hapa weekend imeanza
Kamanda niliegesha moja ya 1-1& 0-2 ndio imenitoa nilikuwa napata machungu mara 2, odd ya 4.5 imenitoa kimasomaso nakula vyombo kama vyote kwanza nimepita chako ni chako nimechukua kuku wawili nimetimba maghetoni na toto la kisandawe, maisha ndio haya ach. Tule bata, DSM wale sio Panya road kuna dalili za Kibiti Kibiti japo hawasemi
 
Kamanda niliegesha moja ya 1-1& 0-2 ndio imenitoa nilikuwa napata machungu mara 2, odd ya 4.5 imenitoa kimasomaso nakula vyombo kama vyote kwanza nimepita chako ni chako nimechukua kuku wawili nimetimba maghetoni na toto la kisandawe, maisha ndio haya ach. Tule bata, DSM wale sio Panya road kuna dalili za Kibiti Kibiti japo hawasemi
Safi sana hongera mzee

Japo ulipotaja chako ni chako nimecheka kama chizi maana niliwahi kulewa hapo nikavua nguo asubuhi najikuta kwenye gari sina hata boxer wazee wenzangu wanasema jitahidi uwahi kuondoka mkoa huu maana ushaaibika vya kutosha
 
Poleni sana Ndugu zangu ZUWENA FC (makolo)

Mpira siyo vita.......mpira ni profession ....


Mpira siyo maneno .....mpira ni profession


Mpira siyo uchawi. Mpira ni usajili

Karibuni kesho kuwaona mabingwa ........young Africa [emoji16][emoji16]
 
[emoji881][emoji881]
IMG_20230211_222658.jpg
 
Back
Top Bottom