Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mkuu pambana na shida zako kwanza 😀Kesho mida kama hii nitakupa mapendekezo ya namna gani mlipaswa mcheze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pambana na shida zako kwanza 😀Kesho mida kama hii nitakupa mapendekezo ya namna gani mlipaswa mcheze
Jembe letu unaliita sifuri?Huyu Baleke ni sifuri kabisa usajili mbovu kabisa
Watakuja na hadisi za kwa mkapa hapaMakolo tunawakumbusha Next game versus Raja Casablanca hii inamana mtacheza mechi mbili bila kupata point yoyote
Usitukorofishe na Robatinho wetuHuyu kocha aondoke
Unatumiaga bange mbichi?Hyo Raja mnavyoiogopa au mnaogopa hilo jina mnaona lipo kama bara la america?? Hao tutawafumua kwao na kwetu...subirini muone...kuna watu wanatisha kama.Alhaily??? Tuliwabamiza
Na Timu lao la kuunga ungaNani asietaka kushuhudia mbumbumbu wakiteseka?
Mnavyojua farijiana sasa[emoji16]Raja hata ajipindue vipi, kwenye jua la Lupaso ni lazima aache points.
Iliyosagwa na kuchanganywa na maziwa kidogoUnatumiaga bange mbichi?
Uko wapi nije unipe kidogo Bangi hiyoIliyosagwa na kuchanganywa na maziwa kidogo
Pesa hamna sasaHivi tunashindwaje kumchukua hata Aucho huyu Sakho aondoke
Hapana wao ni washindi wa Takwimu za mchezoDooooh mnyama kafa leo 😬🙄
Shida nizitoe wapi wakati mahesabu hayajaharibika?Mkuu pambana na shida zako kwanza 😀
Kimoja kinauma 😂Hapana wao ni washindi wa Takwimu za mchezo
Nilidhani ni Sewahaji Muhimbili 😀Sio sewadogo sema sawadogo wewe kibitozi cha naijeria
Kwakumtegemea Boco, Baleke na Kibu ndo wapate point? Basi kazi wanayo ngoja wapigwe 5 kwa mkapa ili akili ziwarudieWatakuja na hadisi za kwa mkapa hapa
Hapa jangwani jengo la njano kwa nyuma bwawaniUko wapi nije unipe kidogo Bangi hiyo
AUtajulia wapi kuandika majina ya masupa star??? 😡 😆 😆Nilidhani ni Sewahaji Muhimbili 😀