Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeifunga ngapiHoroya hakuna timu hapa
Na Jemedari SaidHaya mrudi muendelee na uchambuzi wa mkataba wa Fei na Sportpesa.
njaa?Sasa ole wenu Mwananchi ashinde kesho
Atachapika vibaya mnoHoroya karibuni kwa nkapa.
Msamehe bure mkuuMmeifunga ngapi
Mtamfunga nani sasa?Kwenye hili kundi atapita Raja na Simba
Hili halina ubishi..Kwenye hili kundi atapita Raja na Simba
Sa mbona mshatokaSio mbaya, tujipange kwa mechi zijazo naamini mwalimu atayafanyia kazi makosa ya mchezo wa leo.
Nguvu Moja
Walisikika walevi wakijadiliana..Sasa Hesabu zibaki hivi.
Tu draw na Raja kwa Mkapa watufunge kwako point 1
Tumfunge Horoya Kwa Mkapa 3
Huyu vipers tumpike nje ndani 6
Jumla 10.
Pole jamaniHuu ni upumbavu
Ungekuwa na timu sawa,next ni vs Raja Kwa Mkapa 🤣Atachapika vibaya mno
Unaingiza mchezaji ambaye ameishiwa nguvu za miguu kwneye mechi inayohitaji nguvu kama hii. Hata kuruka hawezi. Nilisema toka game haijaanza hii game haikumfaa.Aiseeeh Bocco astaafiswe sasa.