kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Pitch ni rafiki kuchezea?Mimi naona wechezaji wengi leo hawajijutuma kwa kile kiwango chao kilichozoeleka.
Dakika ya 96 game on baada ya hapo tusubiri za nyongezaGame inaendelea dakika ya 96
Ihefu 0:0 Yanga
Halafu hicho kibabu kinazingua.Gamondi Leo atapigana...! ni bondia mzuri
Brother K' hujui kama ni dakika 30 za nyingeza hizo?Dakika ya 96 game on baada ya hapo tusubiri za nyongeza
GoooooooooooalBrother K' hujui kama ni dakika 30 za nyingeza hizo?