Huna budi.Nitabaki na Simba yangu hata kwenye nyakati ngumu.
KILA LA KHERI SIMBA SC.
Kuna tatizo kubwa pale Simba hivyo yanga wanaweza kucheza na mechi zetu kirahisi sana.Hakuna udhibiti wa wachezaji,hivyo mnavyoona hawajitumi,inaweza kuwa tayari mdudu kaingia kwa wachezaji.Ihefu sc vs Simba sc saa 10:00 jioni CCM Liti stadium NBC premier league
Leo wanasingida watakuwa wanashudia mtanange mkali baina ya mwenyeji ihefu vs simba sc, wakiendelea kusaka pointi muhimu za kuamua nani bingwa msimu huu.
Tukutane hapa kwa update
Majukumu mkuuAsante Sana Mkuu. Siku hizi mashabiki wa hii timu mmepoa Sana. Mechi ya Mashujaa mlianzisha Uzi Mechi iko dakika ya 20.
Huu ndio msimamo wetuNitabaki na Simba yangu hata kwenye nyakati ngumu.
KILA LA KHERI SIMBA SC.
Ihefu sc vs Simba sc saa 10:00 jioni CCM Liti stadium NBC premier league
Leo wanasingida watakuwa wanashudia mtanange mkali baina ya mwenyeji ihefu vs simba sc, wakiendelea kusaka pointi muhimu za kuamua nani bingwa msimu huu.
Tukutane hapa kwa update