uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni April 13 jombaaIhefu SC VS Simba SC | NBC League | CCM Liti Stadium, Singida | Aprili 12, 2024
Tutawashangaza watu hata hiyo April 20Kutolewa robo kulinifurahisha. Kufirumushwa FA na mashujaa kulinifurahisha zaidi. Leo napenda tushinde ili kupunguza kelele kuelekea tar 20. Then tar 20 naombea mtani atupige walau goli moja tu. Unaijua kwanini?
Baada hapo mashabiki watasusa kwenda viwanjani, Naamini akili za viongozi wa Simba zitaamka na watakuwa makini kwenye kufanya maboresho ya timu.
Wala hakuna nyakati ngumu kiviileNitabaki na Simba yangu hata kwenye nyakati ngumu.
KILA LA KHERI SIMBA SC.
Mbona makasiriko?? Mtu asiseme unataka aipende Yang'a?? HahahhahUtajua mwenyewe sie inatuhusu nini kwanza unamwambia nani 🤣
Naomba na leo mupakuliwe, ili musielewane hapo kilabuni kwenu.Kila la heri kwa Mnyama Mkubwa Mwituni
Piga hao wadogo zake Amphibia
Na leo tena yaleyale ya Mashujaa kipigo kuna Jamaa alikua anamsema mtu eti mmegongwa nyumbani mmegongwa ugenini mmerudi nyumbani tena mmegongwa yaan nyinyi ni wa kugongwa gongwa tuMimi ni Simbaaaaa...
Kila la heri mnyama
Mupakuliwe...musielewane ndo lugha gani...Naomba na leo mupakuliwe, ili musielewane hapo kilabuni kwenu.
Leo tena kipigo kutoka kwa Ihefu mtaanza na nani Mangungu au Try Again?Mbona makasiriko?? Mtu asiseme unataka aipende Yang'a?? Hahahhah
Tuliza mdomo muda bado...Na leo tena yaleyale ya Mashujaa kipigo kuna Jamaa alikua anamsema mtu eti mmegongwa nyumbani mmegongwa ugenini mmerudi nyumbani tena mmegongwa yaan nyinyi ni wa kugongwa gongwa tu
Hatuna wa kuanza naye..tunaendelea mbele...Leo tena kipigo kutoka kwa Ihefu mtaanza na nani Mangungu au Try Again?
Nasikia timu inaenda kujifia km Ashanti United na African LionMupakuliwe...musielewane ndo lugha gani...
Hata iweje haitabidili kuwa Simba ni yetu
Unaijua mechi ya Watani wewe........?........Kuna tatizo kubwa pale Simba hivyo yanga wanaweza kucheza na mechi zetu kirahisi sana.Hakuna udhibiti wa wachezaji,hivyo mnavyoona hawajitumi,inaweza kuwa tayari mdudu kaingia kwa wachezaji.
Na hatari ni mechi ya tarehe 20.
Kuna historia inaenda kutengenezwa na Yanga.
Kitu kinachoudhi,yanga anateseka kuzifunga timu ndogo hata zinazokaribia kushuka daraja,lakini akicheza na simba ni kama anacheza na timu ya daraja la nne.Anajipangia tu afunge goli ngapi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Bado dakika 28 mpaka sasa pira lianze mtaingia kinyumenyume au?Tuliza mdomo muda bado...
Twende tuu tutafika...Kwa kikosi hiki tukifungwa hakuna haja ya kufanya hamasa 20th April.
Kocha awe mwepesei kufanya mabadiliko.
Natamani Freddy na Jobe wabadilishane nusu kwa nusu.
Babakar hayupo kikosini kabisa. Anaumwa?
au ndio plan ya 20th April?
Kumbe mshazoea kugongwa gongwa ovyoHatuna wa kuanza naye..tunaendelea mbele...