Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tunaingia kwa makalio...Bado dakika 28 mpaka sasa pira lianze mtaingia kinyumenyume au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaingia kwa makalio...Bado dakika 28 mpaka sasa pira lianze mtaingia kinyumenyume au?
Mtafika wapi Mwakarobo?Twende tuu tutafika...
Kama kuku wako unaowafuga...Kumbe mshazoea kugongwa gongwa ovyo
😅😅😅 Kolowizard FC mnafukia nini leo Goli la Ihefu?Tunaingia kwa makalio...
Tuliza domo ww utomasandawane..mwakarobo juniorMtafika wapi Mwakarobo?
Tunafukia nywele zako za kwapa...😅😅😅 Kolowizard FC mnafukia nini leo Goli la Ihefu?
Na mtagongwa leo mpaka mseme na mkigongwa wa kwanza kumlaumu MangunguKama kuku wako unaowafuga...
Wewe Mwakarobo tulia mnagongwa tena leoTuliza domo ww utomasandawane..mwakarobo junior
Ni kawaida unaona ajabu kwenye wengi?Na mtagongwa leo mpaka mseme na mkigongwa wa kwanza kumlaumu Mangungu
Kwa hio kugongwa kwenu kawaida tu sio ajabu?Ni kawaida unaona ajabu kwenuye wengi?
Mechi imepoa km uji wa mgonjwaMechi haina hata msisimko.....utadhani tumetangaziwa onesho la pawa mabula
Tunafika, game yetu hii muhimu sana kushinda tena goli za mapema sanaTwende tuu tutafika...
Ubuntu bothoo bado zinawatekenya mwakarobo jr..Wewe Mwakarobo tulia mnagongwa tena leo
Angalia ulichojibiwa acha kukurupuka...Kwa hio kugongwa kwenu kawaida tu sio ajabu?
Itieni ndimu ichangamke...Mechi imepoa km uji wa mgonjwa
Weka chachandu isisimke...Mechi haina hata msisimko.....utadhani tumetangaziwa onesho la pawa mabula
Uko Singinda? au unapima msisimko ukiwa chumbaniMechi haina hata msisimko.....utadhani tumetangaziwa onesho la pawa mabula
Mnapenda sana kugongwa na leo tena kichapo cha Ihefu kinawasubiriaUbuntu bothoo bado zinawatekenya mwakarobo jr..
Angalia ulichojibiwa acha kukurupuka...
Chachandu IPI mnaenda kupigwa na MvuaWeka chachandu isisimke...