Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game on Kolowizard angalia mnavyoanza kumlilia MangunguUtaniota mwaka huu ww njemba ya utopolo. Utopwox...utowizard..utomajini
😆 😆
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌jipimeni kabla ya tar 20 mjue kabisa mnalala na mchupi gani...
Goli la Aziz Ki limekubaliwaDear makolo.... forgive me for not wishing you good luck for your game
I stand with ihefu ( mbogo maji)
Sasa ushasema hamna kikosi kizuri Yanga mnaanza kuifunga kuanzia wapi na mkosi wenu mbovu? Kalpana Kolowizard umemsikia mwenzio hukuMimi naombea tumfunge yanga tu ili kelele zipungue, lakini hizi mechi nyingine zote zilizobaki tufungwe na ubingwa tusichukue, ili viongozi wasijisahau kwamba hatuna kikosi kizuri kwa sasa
Haya maombi ni batili bana kaendelee tu na shughuli zakoMimi naombea tumfunge yanga tu ili kelele zipungue, lakini hizi mechi nyingine zote zilizobaki tufungwe na ubingwa tusichukue, ili viongozi wasijisahau kwamba hatuna kikosi kizuri kwa sasa
Watafungwa IhefuIhefu wanavyowagalagaza simba utafikiri wanacheza na Majimaji fc
Hii Kalpana FC haina kitu. Beki bado inavuja na kule mazee akina Chama yanajiangusha na kujiliza tu. Wanambebesha mzigo mkubwa Kibu Denis kama mnavyombebesha mzigo mkubwa wa kushabikia Masandawane FC ndugu yetu Carasco PutinHii inaitwa piga nikupige.
Wataachia tu dadeki
Unaanzaga hivi hivi mwisho unaishia na "bahati haikua kwetu"Hawa jamaa wanajiamini sana, ila kitakachowapata hawataamini
Mzuri kabisa.Ushindi upo 🦁
Tupe muda Buruda...Hii Kalpana FC haina kitu. Beki bado inavuja na kule mazee akina Chama yanajiangusha na kujiliza tu. Wanambebesha mzigo mkubwa Kibu Denis kama mnavyombebesha mzigo mkubwa wa kushabikia Masandawane FC ndugu yetu Carasco Putin
Wait my love 😘Unaanzaga hivi hivi mwisho unaishia na "bahati haikua kwetu"