uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Freddy kapigwa mtama mkali refa kapetaImekuwaje!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Freddy kapigwa mtama mkali refa kapetaImekuwaje!?
Dstv inaonesha channel gani? Azam imekata....Hatutafungwa, unaona hapo tumenyimwa tuta kabisa
Si kama nyie mlivyopigwa na ihefu tu, usisahau sasa hivi hilo jina la mwakarobo ni letu sote, kwahiyo unatakiwa uwe specificWewe Mwakarobo tulia kimataifa ya wapi mnapigwa na Mashujaa
Kuna watu wakutosha.Yah ni kubwa ila heshima yake inaporomoka nasikia mtangazaji anasema uwanja ni mweupe hapo liti
Pale Dodoma uwanja ulikuwa pomoni
Mvua za Dar, niko na Azam mimiDstv inaonesha channel gani? Azam imekata....
Kwa hio unamaanisha Ahmed Ally kila Mechi anachekea CHOONI maana yule ni Yanga lialia kabisa Simba yupo kimasihara ya Kazi tu SIO ShabikiThen huo msiba wa Ahmed Ally
Mtafute mnyaturu yeyote muulize atakupa jibu. Onyo sio Kila mtu anayetaka singida au Kondoa ni myaturu,maana mjini mnachanganyaMbo Jo ndio nini?
Azam imekataje?Mvua za Dar, niko na Azam mimi
Wifi yako ni Mnyaturu ngoja nimuulize akinipa jibu nitakwambiaMtafute mnyaturu yeyote muulize atakupa jibu. Onyo sio Kila mtu anayetaka singida au Kondoa ni myaturu,maana mjini mnachanganya
Mimi binafsiIhefu sc vs Simba sc saa 10:00 jioni CCM Liti stadium NBC premier league
Leo wanasingida watakuwa wanashudia mtanange mkali baina ya mwenyeji ihefu vs simba sc, wakiendelea kusaka pointi muhimu za kuamua nani bingwa msimu huu.
Tukutane hapa kwa update.
Wewe Mwakarobo wa muda wote unapigwa nje ndani unapigwa tena ndani na leo Ihefu anawatekenya tena ili mcheke vizuriSi kama nyie mlivyopigwa na ihefu tu, usisahau sasa hivi hilo jina la mwakarobo ni letu sote, kwahiyo unatakiwa uwe specific
Msanii huyuBenchika amekasirika, akajishika kichwani, Kwa hasira akavua kofia, akaitupa chini, akakumbuka kama ana upara juu akaichukua chaap[emoji23][emoji23]
Basi kadanganya maana ni tbcKuna watu wakutosha.
Na jua linawaka
Waongo haoBasi kadanganya maana ni tbc
Ok hiyo huwa inatokea aendelee kupambana striker la kunyata a.k.a minyatoFreddy kapigwa mtama mkali refa kapeta
Atafunga dakika sio nyingiOk hiyo huwa inatokea aendelee kupambana striker la kunyata a.k.a minyato
Kufungwa ni kufungwa tu hakuna cha nje wala ndani, wote tumetolewa tumeishia robo, hivyo wote ni kina mwakarobo fcWewe Mwakarobo wa muda wote unapigwa nje ndani unapigwa tena ndani na leo Ihefu anawatekenya tena ili mcheke vizuri
Ila naona game imebalance maana dk ya 41 na hakuna amsha amshaWaongo hao