FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

Wewe Mwakarobo tulia kimataifa ya wapi mnapigwa na Mashujaa
Si kama nyie mlivyopigwa na ihefu tu, usisahau sasa hivi hilo jina la mwakarobo ni letu sote, kwahiyo unatakiwa uwe specific
 
Mtafute mnyaturu yeyote muulize atakupa jibu. Onyo sio Kila mtu anayetaka singida au Kondoa ni myaturu,maana mjini mnachanganya
Wifi yako ni Mnyaturu ngoja nimuulize akinipa jibu nitakwambia
 
Ihefu sc vs Simba sc saa 10:00 jioni CCM Liti stadium NBC premier league
Leo wanasingida watakuwa wanashudia mtanange mkali baina ya mwenyeji ihefu vs simba sc, wakiendelea kusaka pointi muhimu za kuamua nani bingwa msimu huu.

Tukutane hapa kwa update.

KIKOSI CHA SIMBA
View attachment 2962368

KIKOSI CHA IHEFU


View attachment 2962369
Mimi binafsi

Namchukia FREDDY na uchezaji wake namchukia Sanaa
 
Si kama nyie mlivyopigwa na ihefu tu, usisahau sasa hivi hilo jina la mwakarobo ni letu sote, kwahiyo unatakiwa uwe specific
Wewe Mwakarobo wa muda wote unapigwa nje ndani unapigwa tena ndani na leo Ihefu anawatekenya tena ili mcheke vizuri
 
Kama itatokea timu itakayocheza na sisi Yanga kama hawa tunaowatazama hapa.

Basi wajiandae kwa dhahama ya magoli mengi sana.
 
Wewe Mwakarobo wa muda wote unapigwa nje ndani unapigwa tena ndani na leo Ihefu anawatekenya tena ili mcheke vizuri
Kufungwa ni kufungwa tu hakuna cha nje wala ndani, wote tumetolewa tumeishia robo, hivyo wote ni kina mwakarobo fc
 
Back
Top Bottom