Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oohh kwahiyo ihefu walipowafunga walikuwa na kikosi kizuri, sisi target yetu ni kimataifa hatutaki kikosi cha kuishia robo kila mwaka ninyi naona msharidhika na kikosi chenu bora, imagine yanga pamoja na kuwa na kikosi bora lakini mmeishia robo kama sisi wenye kikosi kibovuSasa ushasema hamna kikosi kizuri Yanga mnaanza kuifunga kuanzia wapi na mkosi wenu mbovu? Kalpana Kolowizard umemsikia mwenzio huku
Umeanza 🤣🤣🤣🤣🤣Hivi huu uwanja una vipimo sahihi?
Ila bado ni timu kubwa.Simba inadharaulika sana kwa ssa dah!!!!!
Wewe Mwakarobo tulia kimataifa ya wapi mnapigwa na MashujaaOohh kwahiyo ihefu walipowafunga walikuwa na kikosi kizuri, sisi target yetu ni kimataifa hatutaki kikosi cha kuishia robo kila mwaka ninyi naona msharidhika na kikosi chenu bora, imagine yanga pamoja na kuwa na kikosi bora lakini mmeishia robo kama sisi wenye kikosi kibovu
Naona kama ni mdogo sana.Umeanza 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂Mheshimiwa baada ya kununua hii timu angeiita "MBOJO" ingepata umaarufu mkubwa Singida kuliko timu mbili kuwa na majina yanayofanana
Mbo Jo ndio nini?Mheshimiwa baada ya kununua hii timu angeiita "MBOJO" ingepata umaarufu mkubwa Singida kuliko timu mbili kuwa na majina yanayofanana
Subiri mfungwe ndo utajua vipimo vya uwanja vilizidishwaNaona kama ni mdogo sana.
Yah ni kubwa ila heshima yake inaporomoka nasikia mtangazaji anasema uwanja ni mweupe hapo litiIla bado ni timu kubwa.
Na Saido amesaini mkataba kwamba kila Mechi acheze as long as sio majeruhiAs long as Saido Ntiba ameanza simba hawezi shinda
Then huo msiba wa Ahmed AllyNa Saido amesaini mkataba kwamba kila Mechi acheze as long as sio majeruhi
Hatutafungwa, unaona hapo tumenyimwa tuta kabisaSubiri mfungwe ndo utajua vipimo vya uwanja vilizidishwa
Imekuwaje!?Penaaaati