Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moderator Active Cookie badirisha heading haiitwi Ihefu imebadirika Jina inaitwa Singida Black Stars chini ya Tajiri mifedha Mwigulu Nchemba ndio Mmiliki halali wa Singida Black StarsIhefu
'waukhaya'Singida black stars
Utajua mwenyewe sie inatuhusu nini kwanza unamwambia nani 🤣Nitabaki na Simba yangu hata kwenye nyakati ngumu.
KILA LA KHERI SIMBA SC.
Kupata point kwenye hizi mechi mbili zilizo ongozana, siyo kazi nyepesi hata kidogo! Ukichanganya na fatique ya wachezaji wenu! Aisee kazi mnayo.Tutafanyaje na ndio timu yetu,iache ituue..
Huu ni ukurasa rasmi wa Singida black stars umeona hapo wakiiweka jina na nembo ya hiyo Singida black stars? Kama wao wenyewe wameiweka Ihefu, kwanini wewe unalazimisha isiwepo Ihefu? Inawezekana mchakato wa ubadilishaji wa jina haukukamilika hadi sasa.Moderator Active Cookie badirisha heading haiitwi Ihefu imebadirika Jina inaitwa Singida Black Stars chini ya Tajiri mifedha Mwigulu Nchemba ndio Mmiliki halali wa Singida Black Stars
Mhariri badirisha heading hapo weka Singida Black Stars Mwigulu akipita akaona hivyo atawa-mind Ihefu haipo tena
Soma
Soma pia
Singida Black Stars sio mali ya Mwigulu
"Singida Black Stars sio mali ya Mwigulu Nchemba, Singida ni mali ya kampuni ya Highland Estate (Mbalali) ambayo ilikuwa ikimiliki Ihefu Sports Club". ©️ Peter Andrew. Afisa habari wa Singida Black Stars kupitia Bongo FM (TBC fm). Credit: Tom Cruzwww.jamiiforums.com
Huyo Graphic designer wao kimeo mnamuita Admin kanjanja Ila Ihefu haipo IPO Singida Black Stars Ihefu ishafutwaHuu ni ukurasa rasmi wa Singida black stars umeona hapo wakiiweka jina na nembo ya hiyo Singida black stars? Kama wao wenyewe wameiweka Ihefu, kwanini wewe unalazimisha isiwepo Ihefu? Inawezekana mchakato wa ubadilishaji wa jina haukukamilika hadi sasa. View attachment 2962114
Majukumu yanasingiziwa tu hapa.....Majukumu mkuu
Simba ni jangaKutolewa robo kulinifurahisha. Kufirumushwa FA na mashujaa kulinifurahisha zaidi. Leo napenda tushinde ili kupunguza kelele kuelekea tar 20. Then tar 20 naombea mtani atupige walau goli moja tu. Unaijua kwanini?
Baada hapo mashabiki watasusa kwenda viwanjani, Naamini akili za viongozi wa Simba zitaamka na watakuwa makini kwenye kufanya maboresho ya timu.
Kocha kaanza vizuri.Ihefu sc vs Simba sc saa 10:00 jioni CCM Liti stadium NBC premier league
Leo wanasingida watakuwa wanashudia mtanange mkali baina ya mwenyeji ihefu vs simba sc, wakiendelea kusaka pointi muhimu za kuamua nani bingwa msimu huu.
Tukutane hapa kwa update
Kwa kikosi hiki tukifungwa hakuna haja ya kufanya hamasa 20th April.View attachment 2962316
All the Best Chama Kubwa!!