mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Yaani ile gemu ya Botswana simba alitakiwa amalize kabisa.sijui tunafeli wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha waoneee huruma mkuuMnaweza mkapasukia hapo hapo nyumbani.
Mnavyocheza mpira mdomoni kama mna timu ya maana vileHayo ni matokeo mazuri sana kwa Simba. Simba inakuja kucheza na ASEC katika mechi ya mwisho huku inaonyesha ASEC tayari ikiwa imejihakikishia kuvuka hatua inayofuata.
Simba inahitaji ushindi katika mechi moja dhidi ya Wydad na itapendeza vizuri huo ushindi ukawa leo ili mechi ya marudiano isiwe na pressure sana, iwe ya kutafuta hata sare tu. Najua Galaxy hawezi kupona kwa Mkapa safari hii.
Uwezo wenu ndio ulifika mwisho mkuu wale asec kwa mkapa waliwazidi kila kitu uwanjaniHii timu ni kama washabiki tupo serious kuliko wachezaji, Asec ilifaa afe kwa mkapa tukamchekea, jwaneng ilifaa afe kwake tukamchekea tena. RIP Simba tujaribu tena mwakani.