FT: J.Galaxy vs Asec: 0-2, kwa matokeo haya kundi la Simba limezidi kuwa gumu

Yaani ile gemu ya Botswana simba alitakiwa amalize kabisa.sijui tunafeli wapi
 
Itakua dharau mwarabu leo akifufukia kwa simba
 
Mnavyocheza mpira mdomoni kama mna timu ya maana vile
 
Hii timu ni kama washabiki tupo serious kuliko wachezaji, Asec ilifaa afe kwa mkapa tukamchekea, jwaneng ilifaa afe kwake tukamchekea tena. RIP Simba tujaribu tena mwakani.
Uwezo wenu ndio ulifika mwisho mkuu wale asec kwa mkapa waliwazidi kila kitu uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…